TUKIO LA MOTO MBAGALA: WATATU WAFARIKI, SITA HOI MUHIMBILI
![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT35NUbiBOExD*JHkw2Crt902WbQN4YZ*FVakLGCGEPhHg*3-MFklN*11KRmR-35JT3*UtugS*qdHAHwrd3J18lx/1.jpg)
Mmoja wa majeruhi katika tukio hilo la moto akisimulia. Baadhi ya sehemu za mwili za watu walioungua.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Oct
MAJERUHI WA MOTO WA PETROLI MBAGALA WALIOLAZWA MUHIMBILI
Baadhi ya majeruhi wa ajali ya moto wakiwa wodini.
MAJERUHI 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu, wanaendelea na matibabu huku hali zao zikiwa bado mbaya.
Kamera yetu ilifika katika hospitali hiyo na kuwakuta wagonjwa hao wakiwa wamelazwa katika wodi namba 23 iliyopo katika jengo la Sewahaji na Afisa Uhusiano msaidizi wa Muhimbili, Doris Ihenga...
10 years ago
GPL10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Watatu wauawa tukio la utekaji Sydney
10 years ago
Habarileo14 Jan
Huduma za uzazi Muhimbili hoi
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) inakabiliwa na uhaba wa wafanyakazi, huduma mbovu za rufaa na upungufu wa vitendea kazi, hali inayochangia kuwepo kwa huduma hafifu katika masuala ya uzazi.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Zanzibar hoi kidato cha sita
WAKATI watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2014 wakifaulu, Zanzibar imeangukia pua kwa kutoingiza shule hata moja kumi bora, badala yake shule zake...
10 years ago
Vijimambo30 Dec
Watatu wafariki, 11 wajeruhiwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Godfrey-30Dec2014.jpg)
Katika tukio la kwanza lililohusisha ajali ya gari dogo aina ya Toyota Noah likitokea Tanga kwenda Moshi Mjini, liliacha njia na kupinduka baada ya dereva wake, Ally Kasim (48) kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi.
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema ...
11 years ago
GPLWATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Watatu wafariki dunia D’Salaam
![Dar es Salaam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/dar-es-salaam.jpg)
Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WATU watatu wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti likiwamo la mtoto Jackline Lubaka (5), kufariki baada ya ukuta kumdondokea.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 11 jioni wakati Lubaka alipokuwa akicheza na wenzake pembezoni mwa nyumba wanayoishi ghafla alidondokewa na ukuta na kufariki dunia papo hapo.
Alisema chanzo cha ajali hiyo ni uchakavu wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Watatu wafariki dunia Pwani
MKAZI wa Kijiji cha Msolwa, wilayani Bagamoyo, Doto Paul (30), amekufa kwa kuteketea kwa moto uliotokana na radi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema jana kuwa tukio...