Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUKIO LA MOTO MBAGALA: WATATU WAFARIKI, SITA HOI MUHIMBILI

Mmoja wa majeruhi katika tukio hilo la moto akisimulia.
Baadhi ya sehemu za mwili za watu walioungua.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAJERUHI WA MOTO WA PETROLI MBAGALA WALIOLAZWA MUHIMBILI




Baadhi ya majeruhi wa ajali ya moto wakiwa wodini.


MAJERUHI 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu, wanaendelea na matibabu huku hali zao zikiwa bado mbaya.

Kamera yetu ilifika katika hospitali hiyo na kuwakuta wagonjwa hao wakiwa wamelazwa katika wodi namba 23 iliyopo katika jengo la Sewahaji na Afisa Uhusiano msaidizi wa Muhimbili, Doris Ihenga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa tukio la utekaji Sydney

Watu watatu wameripotiwa kufa baada ya makomandoo kuvamia mkahawa ambao mtu mwenye silaha aliwashikilia mateka watu kadha

 

10 years ago

Habarileo

Huduma za uzazi Muhimbili hoi

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) inakabiliwa na uhaba wa wafanyakazi, huduma mbovu za rufaa na upungufu wa vitendea kazi, hali inayochangia kuwepo kwa huduma hafifu katika masuala ya uzazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar hoi kidato cha sita

WAKATI watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2014 wakifaulu, Zanzibar imeangukia pua kwa kutoingiza shule hata moja kumi bora, badala yake shule zake...

 

10 years ago

Vijimambo

Watatu wafariki, 11 wajeruhiwa

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela.Watu watatu wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa vibaya katika matukio mawili yaliyozua taharuki kwa wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.

Katika tukio la kwanza lililohusisha ajali ya gari dogo aina ya Toyota Noah likitokea Tanga kwenda Moshi Mjini, liliacha njia na kupinduka baada ya dereva wake, Ally Kasim (48) kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi.

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema ...

 

11 years ago

GPL

WATATU WAKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI MBAGALA, DAR

Ngozi ya chui na nyara nyingine zilizokamatwa.
Meno ya tembo yaliyopatikana kwa watuhumiwa.
Kamishna  Kova akionyesha baadhi ya nyara walizozikamata. WANAWAKE…

 

11 years ago

Mtanzania

Watatu wafariki dunia D’Salaam

Dar es Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

WATU watatu wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti likiwamo la mtoto Jackline Lubaka (5), kufariki baada ya ukuta kumdondokea.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 11 jioni wakati Lubaka alipokuwa akicheza na wenzake pembezoni mwa nyumba wanayoishi ghafla alidondokewa na ukuta na kufariki dunia papo hapo.

Alisema chanzo cha ajali hiyo ni uchakavu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wafariki dunia Pwani

MKAZI wa Kijiji cha Msolwa, wilayani Bagamoyo, Doto Paul (30), amekufa kwa kuteketea kwa moto uliotokana na radi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema jana kuwa tukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani