Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watatu wafariki, 11 wajeruhiwa

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela.Watu watatu wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa vibaya katika matukio mawili yaliyozua taharuki kwa wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.

Katika tukio la kwanza lililohusisha ajali ya gari dogo aina ya Toyota Noah likitokea Tanga kwenda Moshi Mjini, liliacha njia na kupinduka baada ya dereva wake, Ally Kasim (48) kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi.

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Saba wafariki, 71 wajeruhiwa ajalini

Watu saba wamefariki dunia na wengine 71 kujeruhiwa kwenye ajali ya iliyohusisha mabasi ya abiria mikoa ya Kilimanjaro na Manyara.

 

11 years ago

Mwananchi

Tisa wafariki dunia, 10 wajeruhiwa

Watu tisa wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Coaster kugonga lori la mizigo aina ya Fiat, Iveco, lililokuwa limeegeshwa pembeni mwa Barabara ya Mwanza - Musoma.

 

10 years ago

Michuzi

WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI

Na John Gagarini, Kibaha
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...

 

11 years ago

Mwananchi

Sita wafariki ajalini, 12 wajeruhiwa Dar

Watu sita wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali iliyohusisha magari matatu, eneo la Lugalo, jijini Dar es Salaam jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 11 wafariki ajali ya basi, 55 wajeruhiwa

Abiria 11 waliokuwa wakisafiri na basi la Kampuni ya Burudani kutoka Korogwe kuelekea Dar es Salaam akiwamo dereva wamefariki, huku wengine 55 wakijeruhiwa baada ya basi hilo aina ya Nissan kuacha njia na kupinduka kwenye kona wakati likijaribu kupishana na lori aina ya Fuso.

 

9 years ago

StarTV

Watu watano wafariki, sita wajeruhiwa Katavi

Watu  watano  wamefariki    na  wengine  sita  kujeruhiwa  katika  ajali  ya  gari  iliyokea  kijiji  cha Matandalani  wilaya  ya Mlele  mkoani  Katavi   baada  ya  gari  aina  ya NOAH   lenye  namba  T 451 DDP  ikitokea  Mpanda  mjini  Kuelekea  Sitalike   kupinduka  na  kuacha  njia.

Kamanda  wa  Polisi  mkoa  wa  Katavi  Dhahiri  Kidavashari amesema  ajali  hiyo  imetokea  majira  ya saa tano  za  asubuhi  baada  ya  gari  kupasuka  tairi  na  kupinduka  ambapo  chanzo  cha  ajali ...

 

10 years ago

Mwananchi

19 wafariki ajalini mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya

Watu 19 wafari katika ajali ya gari eneo la Kiwira Mkoani Mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya 

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wajeruhiwa Kenya

WATU watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu katika mji wa Garisa nchini humo. Hayo yalithibitishwa Jumamosi na mkuu wa polisi wa eneo hilo, Charles Kinyua kuwa kati ya vijana watatu...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa

Watu watatu wamefariki dunia na wengine 24 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Songea kwenda Mbeya kumgonga mwendesha baiskeli na kupinduka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani