MAJERUHI WA MOTO WA PETROLI MBAGALA WALIOLAZWA MUHIMBILI
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Oct
MAJERUHI WA MOTO WA PETROLI MBAGALA WALIOLAZWA MUHIMBILI
Baadhi ya majeruhi wa ajali ya moto wakiwa wodini.
MAJERUHI 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu, wanaendelea na matibabu huku hali zao zikiwa bado mbaya.
Kamera yetu ilifika katika hospitali hiyo na kuwakuta wagonjwa hao wakiwa wamelazwa katika wodi namba 23 iliyopo katika jengo la Sewahaji na Afisa Uhusiano msaidizi wa Muhimbili, Doris Ihenga...
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia
Wakati mtu mmoja kati ya majeruhi walioungua moto juzi kutokana na mlipuko wa lori la petroli akifariki dunia na kufanya waliopoteza maisha kufikia watano, majeruhi wawili jana wamesimulia jinsi mkasa huo ulivyowakuta.
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Majeruhi wa moto wa lori la mafuta Mbagala hali bado mbaya
Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta huko Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam, waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili hali zao zinaendelea kuwa mbaya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT35NUbiBOExD*JHkw2Crt902WbQN4YZ*FVakLGCGEPhHg*3-MFklN*11KRmR-35JT3*UtugS*qdHAHwrd3J18lx/1.jpg)
TUKIO LA MOTO MBAGALA: WATATU WAFARIKI, SITA HOI MUHIMBILI
Mmoja wa majeruhi katika tukio hilo la moto akisimulia.
Baadhi ya sehemu za mwili za watu walioungua.…
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s72-c/346.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWATEMBELEA NA KUWAPA POLE MAJERUHI TISA WALIOLAZWA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s640/346.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nmnQAqLlb0Q/VhUfV6JehaI/AAAAAAABJhA/6rYP1PBzMGQ/s640/349.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WALIOLAZWA MUHIMBILI
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-wgRBly8wWFw/UtZPshP2NaI/AAAAAAACYrc/9citUXN5X4Q/s1600/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAJULIA HALI MAWAZIRI WALIOLAZWA MUHIMBILI
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya, aliyelazwa katika jengo la Moyo Hospitali ya Taifa Muhimbili, wakati alipofika kumjulia hali leo, Jan 15, 2014. Kulia ni mke wa Makamu, Mama Zakia Bilal (kushoto) ni Meneja wa Jengo hilo la Moyo, Sr. Salome Kassanga.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LXnHj2Xol3w/VDKUqBvna3I/AAAAAAAGoVY/elzVFLs4Gxc/s72-c/pic%2B2.jpeg)
JK AWAJULIA HALI WAKUU WA MIKOA YA KILIMANJARO, SIMIYU NA MJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA WALIOLAZWA MUHIMBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LXnHj2Xol3w/VDKUqBvna3I/AAAAAAAGoVY/elzVFLs4Gxc/s1600/pic%2B2.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vRIq24d7ya0/VDKUqY3i1xI/AAAAAAAGoVo/NDoj8SIsLjw/s1600/PIC%2B3.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Dw4mMkxxN2M/VDKUqRLb5yI/AAAAAAAGoVc/qOnBUJI3dh4/s1600/PIC%2B4.jpeg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10