Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia
Wakati mtu mmoja kati ya majeruhi walioungua moto juzi kutokana na mlipuko wa lori la petroli akifariki dunia na kufanya waliopoteza maisha kufikia watano, majeruhi wawili jana wamesimulia jinsi mkasa huo ulivyowakuta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL10 years ago
Vijimambo17 Oct
MAJERUHI WA MOTO WA PETROLI MBAGALA WALIOLAZWA MUHIMBILI
Baadhi ya majeruhi wa ajali ya moto wakiwa wodini.
MAJERUHI 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu, wanaendelea na matibabu huku hali zao zikiwa bado mbaya.
Kamera yetu ilifika katika hospitali hiyo na kuwakuta wagonjwa hao wakiwa wamelazwa katika wodi namba 23 iliyopo katika jengo la Sewahaji na Afisa Uhusiano msaidizi wa Muhimbili, Doris Ihenga...
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Awasha moto kituo cha petroli kwa kuogopa buibui
Mwanamume mmoja raia wa Marekani amewastaajibisha wengi baada ya kuwasha moto kituo cha kuuzia mafuta ya petroli eti anachoma buibui.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Majeruhi moto wa lori hali tete
Majeruhi watano kati ya saba wa ajali ya mlipuko wa lori la mafuta, Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam, hali zao bado haziridhishi.
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Majeruhi wa moto wazidi kupoteza maisha Dar
Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta huko Mbagala Rangi Tatu, Dar es Salaam wameendelea kupoteza maisha baada ya wengine wawili kufariki dunia na kufanya idadi yao kufikia saba.
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Majeruhi wa moto wa lori la mafuta Mbagala hali bado mbaya
Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta huko Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam, waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili hali zao zinaendelea kuwa mbaya.
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Wasimulia masaibu chini ya B.Haram
BBC imeweza kukutana na watu kadha walioathirika kutokana na vurugu hizi wakiwemo wasichana waliotekwa na kundi hilo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania