Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia

Wakati mtu mmoja kati ya majeruhi walioungua moto juzi kutokana na mlipuko wa lori la petroli akifariki dunia na kufanya waliopoteza maisha kufikia watano, majeruhi wawili jana wamesimulia jinsi mkasa huo ulivyowakuta.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAJERUHI WA MOTO WA PETROLI MBAGALA WALIOLAZWA MUHIMBILI




Baadhi ya majeruhi wa ajali ya moto wakiwa wodini.


MAJERUHI 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu, wanaendelea na matibabu huku hali zao zikiwa bado mbaya.

Kamera yetu ilifika katika hospitali hiyo na kuwakuta wagonjwa hao wakiwa wamelazwa katika wodi namba 23 iliyopo katika jengo la Sewahaji na Afisa Uhusiano msaidizi wa Muhimbili, Doris Ihenga...

 

9 years ago

BBCSwahili

Awasha moto kituo cha petroli kwa kuogopa buibui

Mwanamume mmoja raia wa Marekani amewastaajibisha wengi baada ya kuwasha moto kituo cha kuuzia mafuta ya petroli eti anachoma buibui.

 

10 years ago

Mwananchi

Majeruhi moto wa lori hali tete

Majeruhi watano kati ya saba wa ajali ya mlipuko wa lori la mafuta, Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam, hali zao bado haziridhishi.

 

10 years ago

Mwananchi

Majeruhi wa moto wazidi kupoteza maisha Dar

Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta huko Mbagala Rangi Tatu, Dar es Salaam wameendelea kupoteza maisha baada ya wengine wawili kufariki dunia na kufanya idadi yao kufikia saba.

 

10 years ago

Mwananchi

Majeruhi wa moto wa lori la mafuta Mbagala hali bado mbaya

Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta huko Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam, waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili hali zao zinaendelea kuwa mbaya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasimulia masaibu chini ya B.Haram

BBC imeweza kukutana na watu kadha walioathirika kutokana na vurugu hizi wakiwemo wasichana waliotekwa na kundi hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani