Majeruhi wa moto wazidi kupoteza maisha Dar
Majeruhi wa moto uliotokana na mlipuko wa lori la mafuta huko Mbagala Rangi Tatu, Dar es Salaam wameendelea kupoteza maisha baada ya wengine wawili kufariki dunia na kufanya idadi yao kufikia saba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-izUBbRlzZ8s/VHm-RV1ysUI/AAAAAAACvjM/r-7pxG1eNO0/s72-c/1794591_10205373005827007_6204134194784841380_n.jpg)
NEWZ ALERT:HELIKOPTA YAANGUKA UKONGA,JIJINI DAR,WATU WANNE WADAIWA KUPOTEZA MAISHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-izUBbRlzZ8s/VHm-RV1ysUI/AAAAAAACvjM/r-7pxG1eNO0/s1600/1794591_10205373005827007_6204134194784841380_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FBfloqSl_Eg/VHnAhgHq9WI/AAAAAAACvjo/KvxrmNPjycQ/s1600/unnamed.jpg)
akifafanua jambo...
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Majeruhi moto wa lori hali tete
10 years ago
Vijimambo17 Oct
MAJERUHI WA MOTO WA PETROLI MBAGALA WALIOLAZWA MUHIMBILI
Baadhi ya majeruhi wa ajali ya moto wakiwa wodini.
MAJERUHI 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu, wanaendelea na matibabu huku hali zao zikiwa bado mbaya.
Kamera yetu ilifika katika hospitali hiyo na kuwakuta wagonjwa hao wakiwa wamelazwa katika wodi namba 23 iliyopo katika jengo la Sewahaji na Afisa Uhusiano msaidizi wa Muhimbili, Doris Ihenga...
10 years ago
GPL10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Mwendelezo wa habari ya ajali ya Ruaha Mbuyuni: 6 wadaiwa kupoteza maisha
basi hilo baada ya kupata ajali ya kuungua.
Habari zilizotufikia muda huu wa saa nane mchana ni kuwa hadi sasa imeelezwa kuwa watu sita (6) wamepoteza maisha kufuatia ajali ya basi la abiria la Nganga lililogongana na Fuso, na kupelekea magai hayo kuwaka moto, katika eneo la Ruaha Mbuyuni mpakani kwa Morogoro na Iringa.
Hata hivyo, bado kuna ugumu wa habari kamili kutokana na umbali wa eneo hilo la tukio huku tukihalifiwa kuwa, makamanda wa jeshi la Polisi wa Morogoro na Iringa wote simu zao...
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Majeruhi wa moto wa lori la mafuta Mbagala hali bado mbaya
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s72-c/IMG-20140909-WA0001.jpg)
watu wili wadaiwa kupoteza maisha kufuatia ajali ya basi la Ruksa
![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s1600/IMG-20140909-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kfPPFC6uL0/VBCIJ48jarI/AAAAAAAAoZk/2xf9KhhTnaA/s1600/IMG-20140909-WA0038.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SmtI5hXSqJk/VBCIQ9aN0dI/AAAAAAAAoaE/q_8oAoLJyas/s1600/IMG-20140908-WA0047.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bgWZynVz*oVl3P0yRcPXcGYMQwdFZSLV-nApwwalP2qKpo9FhVo*1JMyAkbUpMZqDkVKuyWBK5WKlsd53H6zSlo0RTYlkIwW/IMG20150417WA0004copy.jpg?width=650)
AJALI IMETOKEA JIJINI MBEYA, ZAIDI YA WATU 20 WAMEDAIWA KUPOTEZA MAISHA