NEWZ ALERT:HELIKOPTA YAANGUKA UKONGA,JIJINI DAR,WATU WANNE WADAIWA KUPOTEZA MAISHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-izUBbRlzZ8s/VHm-RV1ysUI/AAAAAAACvjM/r-7pxG1eNO0/s72-c/1794591_10205373005827007_6204134194784841380_n.jpg)
Ajali ya Helicopter ambayo imedaiwa kuwa ni ya Maliasili na Utalii imegharimu maisha ya marubani 3 wa Jeshi la Polisi Tanzania. Sp Kidai Kaluse, Insp.Simba Must Simba, Pc. Josso Selestine, Na rubani mmoja Capt. Khalfan,Ajali hiyo imetokea huko Kipunguni B Moshi Bar,Ukonga-Ilala jijini Dar es Salaam. Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikaa mpaka sasa. Sehemu ya mabaki ya Helikopta baada ya kuanguka
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova
akifafanua jambo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6sPDK3ZU7To/VDqgPu31jRI/AAAAAAAGplQ/3ROVHiOA9tk/s72-c/unnamed.jpg)
NEWS ALERT:AJALI MBAYA YA BASI LA HAPPY NATION NA GARI NDOGO,WATU KADHAA WADAIWA KUPOTEZA MAISHA HEDARU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6sPDK3ZU7To/VDqgPu31jRI/AAAAAAAGplQ/3ROVHiOA9tk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ivqc90arWEg/VDqgPzhXpyI/AAAAAAAGplU/Ox7GMVj8muI/s1600/unnamed.jpgq.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mdp7Rsoj5oE/VTDLy0RCDbI/AAAAAAAHRoQ/49EDWcJAkLI/s72-c/IMG-20150417-WA0004%2Bcopy.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ....: AJALI NYINGINE YATOKEA JIJINI MBEYA LEO, ZAIDI YA WATU 20 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA
Kwa mujibu wa mtoa taarifa, amesema kwamba ajali hii imetokea wakati Mabasi yafanyayo safari zake kati ya Mbeya na Kyela (maarufu kama Coaster) kugoma kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo hayo, hivyo baadhi ya hiace za mjini kuamua...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s72-c/1.jpg)
NEWZ ALERT:WATU NANE WAKAMATWA KWA TUKIO LA VIUNGO VYA BINADAMU JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s1600/1.jpg)
Kamanda Kova amesema kuwa jopo la Wataalamu saba limeundwa kuchunguza tukio hilo na amethibitisha kuwa viungo vile vilikuwa ni vya maiti,ambavyo hutumika na...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/uBT-csvC4WU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s72-c/IMG-20140909-WA0001.jpg)
watu wili wadaiwa kupoteza maisha kufuatia ajali ya basi la Ruksa
![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s1600/IMG-20140909-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kfPPFC6uL0/VBCIJ48jarI/AAAAAAAAoZk/2xf9KhhTnaA/s1600/IMG-20140909-WA0038.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SmtI5hXSqJk/VBCIQ9aN0dI/AAAAAAAAoaE/q_8oAoLJyas/s1600/IMG-20140908-WA0047.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HELIKOPTA YAANGUKA GONGO LA MBOTO JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi12 Nov
Basi lapiga mweleka huko Kahama leo,watu watano wadaiwa kupoteza maisha
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JIHyBFJkBAU/VGM-V4MPouI/AAAAAAAA8qk/ZPrm0zpqXHY/s640/2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--RWJGfcRy28/VGM-Yxf5GaI/AAAAAAAA8qs/IMnLokrzGuU/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Aug
WATU 16 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI MBAYA YA MABASI MAWILI WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/va1xHRzn4uvgbiOc36N-X4mb4LZ1AzOhMf90tiGqzH1_iWMHS8Wd5EldjeWdxwTkXYrp9FeuDNPQFkbDzit2YYiibpp4IqoRVfjcGexLy4WBt2af4NNmO2f4N1NL3Ua5Y8DiLASUvgn7IHqvBxGNxgZotjcUTbw832ajBRoqg4Z6ktVikjhCvWAX7ZKyZJRbSROBh8oamKFPUJAYDgRV8uFak6g74tcLEG8v_C3eyY8MotFqcHV53SNXPoGJIBSAJoVJP86ZnGrr3xWDqI2qXoeBXhegjQC0W5N-jl9mt5yadOeSsULifW8qS_V-1p7Uj82yczUrutQ5K43-98ZOXhYBQdZQIGll4P2F=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-nZ_GfWPujs0%2FU_NeIhoEQ9I%2FAAAAAAAAGRs%2F5mAvDqwU_yI%2Fs1600%2FIMG-20140819-WA0011.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Ajali hiyo imetokea leo hii jioni majira ya saa 11 jioni baada ya Basi la Kampuni ya Sabena lenye namba za usajiri T 110 ARV lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza kumegongana uso kwa uso na basi la AM Dreamline lenye namba za usajiri T 803 ATN lililokuwa likitokea Mwanza kupitia Mpanda.
Ajali hiyo imetokea...
10 years ago
Michuzi12 Nov
WATU WATANO WADAIWA KUPOTEZA MAISHA NA WENGINE KUJERUHIWA VIBAYA KUFUATIA AJALI YA BASI LA WIBONELA KUPINDUKA MJINI KAHAMA LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-4UdQLcd_cNw/VGM-Vk_59aI/AAAAAAAA8qU/fhtL_P02kQ0/s640/1.jpg)