MAJERUHI WA MOTO WA PETROLI MBAGALA WALIOLAZWA MUHIMBILI
Baadhi ya majeruhi wa ajali ya moto wakiwa wodini.
MAJERUHI 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu, wanaendelea na matibabu huku hali zao zikiwa bado mbaya.
Kamera yetu ilifika katika hospitali hiyo na kuwakuta wagonjwa hao wakiwa wamelazwa katika wodi namba 23 iliyopo katika jengo la Sewahaji na Afisa Uhusiano msaidizi wa Muhimbili, Doris Ihenga...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL11 years ago
Mwananchi16 Oct
Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia
11 years ago
Mwananchi18 Oct
Majeruhi wa moto wa lori la mafuta Mbagala hali bado mbaya
11 years ago
GPL
TUKIO LA MOTO MBAGALA: WATATU WAFARIKI, SITA HOI MUHIMBILI
10 years ago
Vijimambo
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWATEMBELEA NA KUWAPA POLE MAJERUHI TISA WALIOLAZWA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA


10 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WALIOLAZWA MUHIMBILI
11 years ago
GPL
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAJULIA HALI MAWAZIRI WALIOLAZWA MUHIMBILI
11 years ago
Michuzi
JK AWAJULIA HALI WAKUU WA MIKOA YA KILIMANJARO, SIMIYU NA MJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA WALIOLAZWA MUHIMBILI



Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10