JK AWAJULIA HALI WAKUU WA MIKOA YA KILIMANJARO, SIMIYU NA MJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA WALIOLAZWA MUHIMBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LXnHj2Xol3w/VDKUqBvna3I/AAAAAAAGoVY/elzVFLs4Gxc/s72-c/pic%2B2.jpeg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe Leonidas Gama aliyelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe Paschal Mabiti aliyelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba Mhe. Dkt Henry Mwijarubi Nyamubi aliyelazwa kwa matibabu katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-wgRBly8wWFw/UtZPshP2NaI/AAAAAAACYrc/9citUXN5X4Q/s1600/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAJULIA HALI MAWAZIRI WALIOLAZWA MUHIMBILI
10 years ago
Habarileo27 Aug
‘Hakuna mjumbe Bunge Maalumu anayedai posho’
OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Mjumbe Bunge Maalumu augua ghafla, alazwa
10 years ago
Michuzi04 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lDRj_LUmqEw/U-jbfvzMbZI/AAAAAAAF-e4/9SpzOp4iv90/s72-c/unnamed+(30).jpg)
SITTA AMJULIA HALI MJUMBE WA BUNGE MAALUM ALIYEJERUHIWA NA WATU WASIOJULIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lDRj_LUmqEw/U-jbfvzMbZI/AAAAAAAF-e4/9SpzOp4iv90/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-p9YQQiZYBns/U-jbfatBO5I/AAAAAAAF-e0/HD3401SJOmE/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-3
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mjumbe Bunge la Katiba afukuzwa
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Rashid Yussuf Mshenga amefukuzwa uanachama wa Chama cha Wakulima (AFP). Kitendo hicho kimefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho, Said Soud. Hata hivyo, Mshenga amepinga kitendo hicho na kudai ni matokeo ya wivu wa maendeleo.