‘Hakuna mjumbe Bunge Maalumu anayedai posho’
OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
BUNGE MAALUMU LA KATIBA: Uzalendo na posho (2)
BUNGE Maalumu la Katiba limeanza kazi iliyokusudiwa! Hata hivyo, matarajio ya wananchi wengi yameanza kuingia shaka kubwa baada ya wabunge kuanza madai ya nyongeza ya posho za vikao badala ya...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Mjumbe Bunge Maalumu augua ghafla, alazwa
10 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2476502/highRes/844322/-/maxw/600/-/10claeyz/-/POLISI+PX.jpg)
Bukoba. Maandamano ya walimu kuingia katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani, jana yalipata mtafaruku baada ya polisi kuyaingilia na kuchana bango mojawapo lililohoji posho za wajumbe wa Bunge la Katiba.Bango hilo la kitambaa cheupe lilikuwa na maandishi yanayohoji posho ya Sh300,000...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wataka posho Bunge Maalumu ipunguzwe hadi 170,000/-
WAKAZI wa wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara, wameshauri kupunguzwa kwa posho za wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba kutoka Sh 300,000 hadi Sh 170,000 ambazo walisema ni za kawaida kwa vikao vya Bunge.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LXnHj2Xol3w/VDKUqBvna3I/AAAAAAAGoVY/elzVFLs4Gxc/s72-c/pic%2B2.jpeg)
JK AWAJULIA HALI WAKUU WA MIKOA YA KILIMANJARO, SIMIYU NA MJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA WALIOLAZWA MUHIMBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LXnHj2Xol3w/VDKUqBvna3I/AAAAAAAGoVY/elzVFLs4Gxc/s1600/pic%2B2.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vRIq24d7ya0/VDKUqY3i1xI/AAAAAAAGoVo/NDoj8SIsLjw/s1600/PIC%2B3.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Dw4mMkxxN2M/VDKUqRLb5yI/AAAAAAAGoVc/qOnBUJI3dh4/s1600/PIC%2B4.jpeg)
11 years ago
Michuzi16 Feb
mhe livingtsone lusinde aongelea bunge maalumu la katiba, na posho ya laki saba kwa siku
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Mjumbe apinga posho zaidi
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ally Keissy, amewashambulia wajumbe wenzake wanaotaka kuongezewa posho kwa madai hawawaonei huruma wananchi wengi wasio na uhakika wa mlo wa siku. Alisema ni jambo...