BUNGE MAALUMU LA KATIBA: Uzalendo na posho (2)
BUNGE Maalumu la Katiba limeanza kazi iliyokusudiwa! Hata hivyo, matarajio ya wananchi wengi yameanza kuingia shaka kubwa baada ya wabunge kuanza madai ya nyongeza ya posho za vikao badala ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Bunge Maalumu la Katiba; Vita ya ukada dhidi ya uzalendo
11 years ago
Michuzi16 Feb
mhe livingtsone lusinde aongelea bunge maalumu la katiba, na posho ya laki saba kwa siku
10 years ago
Habarileo27 Aug
‘Hakuna mjumbe Bunge Maalumu anayedai posho’
OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
10 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2476502/highRes/844322/-/maxw/600/-/10claeyz/-/POLISI+PX.jpg)
Bukoba. Maandamano ya walimu kuingia katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani, jana yalipata mtafaruku baada ya polisi kuyaingilia na kuchana bango mojawapo lililohoji posho za wajumbe wa Bunge la Katiba.Bango hilo la kitambaa cheupe lilikuwa na maandishi yanayohoji posho ya Sh300,000...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wataka posho Bunge Maalumu ipunguzwe hadi 170,000/-
WAKAZI wa wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara, wameshauri kupunguzwa kwa posho za wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba kutoka Sh 300,000 hadi Sh 170,000 ambazo walisema ni za kawaida kwa vikao vya Bunge.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Bunge la Katiba wagomea posho
JINAMIZI la kutaka posho nono kwa watu wanapopewa majukumu ya kufanya kazi za umma limezidi kushika kasi baada ya jana wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka waongezewe posho zaidi....
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Posho za Bunge la Katiba kufuru
SIKU chache tu baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza majina ya wajumbe walioteuliwa kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba, posho za wabunge hao kwa siku ni kufuru. Habari ambazo gazeti...