Wataka posho Bunge Maalumu ipunguzwe hadi 170,000/-
WAKAZI wa wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara, wameshauri kupunguzwa kwa posho za wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba kutoka Sh 300,000 hadi Sh 170,000 ambazo walisema ni za kawaida kwa vikao vya Bunge.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Wataka posho ya Sh500,000 kwa siku
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
BUNGE MAALUMU LA KATIBA: Uzalendo na posho (2)
BUNGE Maalumu la Katiba limeanza kazi iliyokusudiwa! Hata hivyo, matarajio ya wananchi wengi yameanza kuingia shaka kubwa baada ya wabunge kuanza madai ya nyongeza ya posho za vikao badala ya...
10 years ago
Habarileo27 Aug
‘Hakuna mjumbe Bunge Maalumu anayedai posho’
OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.
10 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2476502/highRes/844322/-/maxw/600/-/10claeyz/-/POLISI+PX.jpg)
Bukoba. Maandamano ya walimu kuingia katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani, jana yalipata mtafaruku baada ya polisi kuyaingilia na kuchana bango mojawapo lililohoji posho za wajumbe wa Bunge la Katiba.Bango hilo la kitambaa cheupe lilikuwa na maandishi yanayohoji posho ya Sh300,000...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Tahliso wataka Bunge Maalumu kusitishwa
11 years ago
Habarileo17 Feb
Posho Bunge la Katiba Sh 300,000 kwa siku
BUNGE Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi Jumatano ijayo ya Februari 26, mwaka huu likiwa na wajumbe 629 na imethibitishwa kuwa kila mjumbe atalipwa Sh 300,000 kwa siku. Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, aliwaambia waandishi wa habari hayo jana ndani ya ukumbi mpya wa Bunge, walipoingia kwa mara ya kwanza ndani ya ukumbi huo kuangalia mfumo wa kisasa wa sauti na mambo mengine.
11 years ago
Michuzi16 Feb
mhe livingtsone lusinde aongelea bunge maalumu la katiba, na posho ya laki saba kwa siku
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho