Tahliso wataka Bunge Maalumu kusitishwa
Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imesema itafanya maandamamo nchi nzima, endapo Bunge Maalumu la Katiba halitasitisha vikao vyake kama lilivyotakiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Feb
Wataka posho Bunge Maalumu ipunguzwe hadi 170,000/-
WAKAZI wa wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara, wameshauri kupunguzwa kwa posho za wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba kutoka Sh 300,000 hadi Sh 170,000 ambazo walisema ni za kawaida kwa vikao vya Bunge.
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Tahliso wataka mikopo 100%
JUMUIYA ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (Tahliso), imeitaka serikali kutoa mikopo asilimia 100 kwa wanafunzi wote waliodahiliwa katika taasisi mbalimbali za elimu ya juu na kuondokana na dhana...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Wamasai wataka uwekezaji kusitishwa Ngorongoro
Kiongozi wa mila tarafa ya Ngorongoro, Augustino Pakai Olonyokei akizungumza na Meneja uendeshaji wa mtandao wa habari wa modewjiblog, Zainul Mzige aliyefika eneo hilo kwa ajili ya kuangalia miradi mbalimbali inayoendeshwa kusaidia jamii ya wafugaji wa kimasai hivi karibuni.
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro
KIONGOZI wa mila tarafa ya Ngorongoro Augustino Pakai Olonyokei ameitaka serikali kusimamisha uwekezaji katika Mamlaka ya Ngorongoro ili kupunguza shinikizo la raslimali katika eneo...
10 years ago
StarTV26 Feb
UKAWA wataka zoezi uandikishwaji wapiga kura kusitishwa.
Na Seda Elias,
Dar es salaam
Wakati tume ya uchaguzi ikiwa imeanza zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kieletroniki wa BVR, Umoja wa katiba ya wananchi, UKAWA, umemtaka Rais Jakaya Kikwete kutoa tamko la kusitisha zoezi hilo ili kusawazisha changamoto zinazojitokeza, ili na kuwezesha watanzania wengi kuandikishwa.
Ikiwa ni siku ya pili tu ya zoezi hilo, tayari kunatajwa baadhi ya changamoto ambazo ni pamoja na mashine za BVR kushindwa kuhimili hali ya joto, upungufu wa...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Bunge kusitishwa
KAMA mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba utaendelea kama linavyokwenda, uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, unaweza kusogezwa mbele hadi mwakani.
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Shinikizo la kusitishwa Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mnyika asisitiza Bunge la Katiba kusitishwa
11 years ago
Habarileo23 Jul
Wataka chombo maalumu kufumua mfumo dume
CHOMBO maalumu ni njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume hivyo kuwa nyuma kiuchumi na kiuongozi.
9 years ago
Habarileo25 Aug
Wasioona wataka karatasi maalumu za kupigia kura
CHAMA cha Wasioona Tanzania (TLB), kimeomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuandaa karatasi maalumu za kupigia kura kwa wasioona ili kuondoa uwezekano wa mtu aliyeteuliwa kupiga kura kwa niaba ya asiyeona kumrubuni.