Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika asisitiza Bunge la Katiba kusitishwa

>Wakati hatima ya Bunge Maalumu la Katiba ikisubiri mkutano wa  Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TDC) kesho, Mbunge wa Ubungo John Mnyika amesema sala ambazo Watanzania wanatakiwa kuomba ili kikao hicho kiweze kuwa  na mafaniko zigeuzwa, badala yake waombe kusitishwa Bunge hilo .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Shinikizo la kusitishwa Bunge la Katiba

>Joto la kushinikiza kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), linazidi kupanda nchini baada ya wabunge na vyama vya siasa kuendelea kusisitiza kuwa Bunge hilo halina tija kwa taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ahofia Bunge la Katiba kuvunjika

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Mnyika, amesema kuna uwezekano mkubwa wa bunge hilo kuvunjika iwapo wajumbe wake kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wataendeleza uchakachuaji wa kanuni...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila asisitiza kupinga Bunge la Katiba

Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amesema mpango wake wa kwenda mahakamani ili kupinga mchakato wa Katiba Mpya, bado uko palepale na kwamba anajipanga.

 

10 years ago

Mtanzania

Mnyika: Chadema tunajiandaa na maandamano kupinga Bunge la Katiba

John Mnyika

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika

Michael Sarungi na Grace Shitundu, Dar es Salaama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipo katika hatua za mwisho za  maandalizi ya  maandamano ya kupinga vikao vya Bunge Maalamu  la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) kumuagiza Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, kurudi katika meza ya mazungumzo na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)   kunusuru  mchakato wa Katiba...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge Mnyika ataka kusitishwa kwa uwindaji

>Mbunge wa Ubungo, Dar es Salaam, John Mnyika amependekeza kusitishwa kwa muda kwa uwindaji wa tembo nchini kama njia muhimu ya kupambana na vitendo vya ujangili.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge kusitishwa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.KAMA mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba utaendelea kama linavyokwenda, uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, unaweza kusogezwa mbele hadi mwakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchakato wa katiba kusitishwa Tanzania

Kumekuwa na maoni tofauti kufuatia hatua ya kusitisha mchakato wa kura ya maoni ya Katiba Mpya nchini Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Tahliso wataka Bunge Maalumu kusitishwa

Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imesema itafanya maandamamo nchi nzima, endapo Bunge Maalumu la Katiba halitasitisha vikao vyake kama lilivyotakiwa.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani