Mnyika asisitiza Bunge la Katiba kusitishwa
>Wakati hatima ya Bunge Maalumu la Katiba ikisubiri mkutano wa Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TDC) kesho, Mbunge wa Ubungo John Mnyika amesema sala ambazo Watanzania wanatakiwa kuomba ili kikao hicho kiweze kuwa na mafaniko zigeuzwa, badala yake waombe kusitishwa Bunge hilo .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Shinikizo la kusitishwa Bunge la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Mnyika ahofia Bunge la Katiba kuvunjika
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Mnyika, amesema kuna uwezekano mkubwa wa bunge hilo kuvunjika iwapo wajumbe wake kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wataendeleza uchakachuaji wa kanuni...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Mtikila asisitiza kupinga Bunge la Katiba
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Mnyika: Chadema tunajiandaa na maandamano kupinga Bunge la Katiba
![John Mnyika](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/John-Mnyika.jpg)
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika
Michael Sarungi na Grace Shitundu, Dar es Salaama
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipo katika hatua za mwisho za maandalizi ya maandamano ya kupinga vikao vya Bunge Maalamu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) kumuagiza Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, kurudi katika meza ya mazungumzo na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kunusuru mchakato wa Katiba...
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Mbunge Mnyika ataka kusitishwa kwa uwindaji
11 years ago
Habarileo27 Mar
Bunge kusitishwa
KAMA mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba utaendelea kama linavyokwenda, uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, unaweza kusogezwa mbele hadi mwakani.
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mchakato wa katiba kusitishwa Tanzania
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Tahliso wataka Bunge Maalumu kusitishwa
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA