Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika ahofia Bunge la Katiba kuvunjika

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Mnyika, amesema kuna uwezekano mkubwa wa bunge hilo kuvunjika iwapo wajumbe wake kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wataendeleza uchakachuaji wa kanuni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hofu yatanda Bunge la Katiba kuvunjika

>Mjadala wa namna ya kuamua Rasimu ya Katiba umezua hofu ya Bunge Maalumu la Katiba kuvunjika.

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika asisitiza Bunge la Katiba kusitishwa

>Wakati hatima ya Bunge Maalumu la Katiba ikisubiri mkutano wa  Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TDC) kesho, Mbunge wa Ubungo John Mnyika amesema sala ambazo Watanzania wanatakiwa kuomba ili kikao hicho kiweze kuwa  na mafaniko zigeuzwa, badala yake waombe kusitishwa Bunge hilo .

 

11 years ago

Mtanzania

Mnyika: Chadema tunajiandaa na maandamano kupinga Bunge la Katiba

John Mnyika

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika

Michael Sarungi na Grace Shitundu, Dar es Salaama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipo katika hatua za mwisho za  maandalizi ya  maandamano ya kupinga vikao vya Bunge Maalamu  la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) kumuagiza Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, kurudi katika meza ya mazungumzo na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)   kunusuru  mchakato wa Katiba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge kuvunjika

HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuhodhi mchakato wa uandikaji wa Katiba mpya zinatishia uhai wa Bunge Maalumu. Tanzania Daima Jumatano limedokezwa kuwa kutokana na CCM, kunyakua nafasi zote za...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge ahofia Rasimu ya Katiba kukwama

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Steven Ngonyani ameelezea hofu yake juu ya uwezekano wa kukwama kwa Rasimu ya Katiba ikiwa mgawanyiko utaendelea kulitafuna Bunge hilo.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

11 years ago

IPPmedia

Intervene in Katiba process, Mnyika tells JK


IPPmedia
Intervene in Katiba process, Mnyika tells JK
IPPmedia
Chadema Deputy Secretary General John Mnyika has advised President Jakaya Kikwete to intervene in the Constitutional Review process in order to have a new constitution which will serve future generations. Mnyika made those remarks yesterday when ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani