Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge kuvunjika

HARAKATI za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuhodhi mchakato wa uandikaji wa Katiba mpya zinatishia uhai wa Bunge Maalumu. Tanzania Daima Jumatano limedokezwa kuwa kutokana na CCM, kunyakua nafasi zote za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ahofia Bunge la Katiba kuvunjika

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Mnyika, amesema kuna uwezekano mkubwa wa bunge hilo kuvunjika iwapo wajumbe wake kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wataendeleza uchakachuaji wa kanuni...

 

11 years ago

Mwananchi

Hofu yatanda Bunge la Katiba kuvunjika

>Mjadala wa namna ya kuamua Rasimu ya Katiba umezua hofu ya Bunge Maalumu la Katiba kuvunjika.

 

11 years ago

GPL

NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah SIKU chache baada ya kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’, aliyekuwa mumewe, Mtangazaji wa TV1, Ezden Jumanne ameibuka na kutoa sababu kuu tatu za kutengena kwao, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Khadija Shaibu ‘Dida’ na Mtangazaji wa TV1, Ezden Jumanne wakipozi. Akizungumza na waandishi wetu katika nyumba aliyohamia kwa sasa, Kijitonyama, Dar,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya muungano Palestina kuvunjika

Rais wa Palestina amesema kuwa serikali ya muungano kati yake na wanamgambo wa Hamas itavunjika.

 

11 years ago

GPL

NDOA YA MAIMARTHA YANUSURIKA KUVUNJIKA

Stori: Imelda Mtema NDOA ya mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse imenusurika kuvunjika baada ya kidudu mtu kutumia jina lake kwa kuwatukana watu, kusambaza umbea hadi kwa mumewe. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse. Akielezea kwa undani sakata hilo, Maimartha alisema mtu huyo ameeneza umbea kuwa (Maimartha) ana uhusiano nje ya ndoa. “Nina wakati mgumu sana, huyu msichana anatumia jina langu mpaka kwenye...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Hofu Ukawa kuvunjika yatanda

MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia, amewataka viongozi na wanachama wa umoja huo kuheshimu makubaliano yaliyomo kwenye mwongozo waliotiliana saini mwaka jana.

Mbatia alitoa angalizo hilo baada ya kuwepo kwa viashiria kwa baadhi ya vyama ndani ya umoja huo kwenda kinyume na walichokubaliana hasa kuachiana majimbo kwa wagombea wabunge na udiwani.

Wiki hii kumekuwapo taarifa katika baadhi ya majimbo kwamba kuna vyama ndani ya Ukawa vimeweka wagombea...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA KUVUNJIKA DARAJA LA KINYEREZI JIJINI DAR

Daraja linalounganisha Kinyerezi na Majumba Sita jijini Dar es Salaam likiwa limevunjika tena baada ya kudaiwa kupita lori lililokuwa limebeba zege. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715…

 

11 years ago

Mwananchi

10 years ago

Bongo5

Kundi la Mafikizolo kuvunjika? Huu ndio ukweli

Muimbaji wa kiume wa kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini, Theo Kgosinkwe ameamua kuzielezea tetesi kuwa kundi hilo lipo mbioni kuvunjika. Nhlanhla Nciza na Theo Kgosinkwe wanaounda kundi la Mafikizolo Tetesi hizo zilianza baada ya muimbaji wa kike wa kundi hilo, Nhlanhla Nciza kuanzisha kampuni yake fashion na Theo kudai kuwa anaanzisha lebo yake […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani