Serikali ya muungano Palestina kuvunjika
Rais wa Palestina amesema kuwa serikali ya muungano kati yake na wanamgambo wa Hamas itavunjika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Serikali ya muungano Palestina imevunjika
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein
![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q8cmQgYykoU/VItORO4d98I/AAAAAAAG23o/zJ2v5sikeOw/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
11 years ago
Habarileo15 Mar
'Serikali 3 zitavunja Muungano'
MJUMBE wa Baraza la Katiba na aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mohammed Seif Khatibu amesema muundo wa Serikali tatu hautaisaidia nchi bali ni njia ya mzunguko kuvunja muungano.
11 years ago
Habarileo19 Mar
Serikali ya Muungano imeegamia Bara
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema katika kuchambua malalamiko ya pande zote mbili, wamebaini kuwa muundo wa Muungano wa serikali mbili, umeifanya Serikali ya Muungano kwa kiwango kikubwa kushughulikia zaidi mambo ya Tanzania Bara hasa maendeleo.
11 years ago
Habarileo09 Mar
‘Serikali 2 zitaimarisha Muungano'
WABUNGE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuhakikisha suala la muundo wa serikali mbili au tatu halififishi mema mengi yaliyomo kwenye Katiba, kwani kuna mambo mengi mazuri ambayo yanajibu kero na changamoto za wananchi.
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
MUUNGANO WA SERIKALI 2: Miaka 50 ya dhoruba
MCHAKATO wa kuandika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeleta mjadala mpana na wenye utata juu ya mfumo na muundo wa serikali. Serikali mbili, kwa mujibu wa asili ya...
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Miradi ya MCA-T yanufaisha Serikali ya Muungano
Waziri Fedha na Uchumi, Saada Mkuya.
Na Mwandishi wetu- Hazina
Maendeleo ya nchi yoyote duniani yanatokana na rasilimali zilizopo katika nchi husika na mipango madhubuti iliyojiwekea.
Serikali imeanzisha sera za uchumi na programu za maendeleo kwa lengo la kuwawezesha watu na kukuza uchumi nchini.
Sera hizo pamoja na mikakati mbalimbali ilitungwa kwa lengo la kuwawezesha kiuchumi Watanzania ili wamiliki, waendeshe na wanufaike na uchumi wao kufuatia Dira ya Maendeleo iliyojiwekea ya...