Serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano
>Katibu mtendaji wa Tume ya Marekebisho ya Sheria, Japhet Sagasii amesema serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mbowe asisitiza Muungano wa serikali tatu
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema upinzani ukiingia madarakani utahakikisha unakuwepo Muungano wa serikali tatu unaotokana na maridhiano ya pande mbili za Jamhuri ya Muungano.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Kundecha: Muungano ni dhamira, hauwezi kuvunjwa na serikali tatu
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mfumo Bora wa Muungano — Serikali Mbili Zenye Ngazi Tatu
TATIZO moja kubwa la mjadala wa muundo wa Muungano ulivyo sasa, ni kuwa kama taifa tunalazimishwa kufikiria kati ya aina mbili tu za muundo – ama serikali mbili zilivyo sasa...
10 years ago
Habarileo03 Oct
'Kuna Wazanzibari wanataka kuvunja Muungano'
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametoa ufafanuzi wa aina mbili ya Wazanzibari.
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Dk. Slaa: Wapinzani hawataki kuvunja Muungano
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kufahamu kuwa hakuna chama cha upinzani chenye lengo la kuvunja Muungano. Alisema maneno yanayoelezwa na wafuasi...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Jussa: Kumekuwa na majaribio manne ya kuvunja Muungano
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Mbowe: Hakuna aliyemtusi Mwalimu Nyerere, wala anayetaka kuvunja Muungano
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Samia: Kero tatu za muungano hazijatekelezwa
Na Jonas Mushi na Tunu Nassor, Dar es Salaam.
LICHA ya kutimiza miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, imeelezwa mambo matatu bado hayajatekelezwa ndani ya muungano.
Mambo hayo, ni pamoja na masuala ya kodi, mahusiano ya kifedha na usajili wa vyombo vya moto.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais ( Muungano), Samia Suluhu Hassan alisema pamoja na mafanikio ya Muungano bado mambo hayo hayajapata ufumbuzi wa kudumu kwa...
11 years ago
Habarileo22 Apr
Waziri-Kero za Muungano zabaki tatu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kero za Muungano zimebakia tatu baada ya kufanyiwa kazi kwa lengo la kujenga muungano imara.