Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jussa: Kumekuwa na majaribio manne ya kuvunja Muungano

Muundo wa Muungano ni kati ya sura za Rasimu ya Katiba ambazo zimezua mjadala mzito kwa wajumbe wa Bunge la Katiba, hasa baada ya kuwapo kwa mgawanyiko wa makundi yenye msimamo tofauti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano

>Katibu mtendaji wa Tume ya Marekebisho ya Sheria, Japhet Sagasii amesema serikali tatu haziwezi kuvunja Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Wapinzani hawataki kuvunja Muungano

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kufahamu kuwa hakuna chama cha upinzani chenye lengo la kuvunja Muungano. Alisema maneno yanayoelezwa na wafuasi...

 

10 years ago

Habarileo

'Kuna Wazanzibari wanataka kuvunja Muungano'

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametoa ufafanuzi wa aina mbili ya Wazanzibari.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe: Hakuna aliyemtusi Mwalimu Nyerere, wala anayetaka kuvunja Muungano

Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), Freeman Mbowe, amesema uamuzi wao wa kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge ni sahihi kwa kuwa ni njia ambayo imeonekana kwao kuwa inafaa kudai haki ya Watanzania wote.

 

11 years ago

TheCitizen

Jussa: This is what carried us through

Tolerance, understanding and dedication were the secrets behind the success of the Draft Standing Orders Committee, the Constituent Assembly heard on Tuesday.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jussa awaumbua mawaziri

MJUMBE wa kamati namba sita, Ismail Jussa, amewaumbua mawaziri watatu wa Zanzibar, na wajumbe wa Bunge Maalumu, kuwa ni wanafiki walioshindwa  kusimamia msimamo wao juu ya muundo wa muungano. Alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Makame amjibu Jussa

SIKU moja baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Jussa kuwashambulia mawaziri watatu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kudai ni wanafiki, waziri mmoja ameibuka na kujibu hoja....

 

11 years ago

TheCitizen

Jussa nails Kificho on three-govt system

>A member of the Zanzibar House of Representatives (ZHR), Mr Ismail Jussa, has concurred with the interpretation of the Constitution Review Commission (CRC) on the recommendations by the ZHR on the structure of the Union

 

9 years ago

Vijimambo

JUSSA MWANASIASA MWENYE KUONA MBALI

Na Swahilivilla. Blog Washington  Waziri Majivuno wa Kusadikika alisema: "Hekima ni kitu adimu kupatikana kwa mtu asiye na mvi...". Pia Waswahili wanasema: "Akili ni nywele"Mshitakiwa Karama aliipinga hoja ya Waziri Majivuno kwa kusema: "....Elimu ilipokuwa haijulikani hapa duniani, mvi zilizingatiwa kuwa ni ishara ya hekima..."Nimekuwa nikiyatafakari mafungu hayo matatu ya maneno ili kuona kama yana uhalisia wowote katika maisha yetu ya leo.Pichani Ndugu  Saidi Mwamende akimuliza swali  ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani