Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jussa awaumbua mawaziri

MJUMBE wa kamati namba sita, Ismail Jussa, amewaumbua mawaziri watatu wa Zanzibar, na wajumbe wa Bunge Maalumu, kuwa ni wanafiki walioshindwa  kusimamia msimamo wao juu ya muundo wa muungano. Alisema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAGUFULI AWAUMBUA MASTAA!

Mwandishi Wetu KUFUATIA kuwepo kwa makundi yaliyotokana na watangaza nia 42 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakiwania nafasi ya urais, mastaa waliokuwemo ndani ya makundi hayo wameumbuka kufuatia ushindi wa John Pombe Magufuli,  Risasi Mchanganyiko lina ‘full’ stori. Soma zaidi===>http://bit.ly/1SmlWO2  

 

9 years ago

GPL

STEVE NYERERE AWAUMBUA MASTAA

Imelda Mtema STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amewachana wasanii kwa kuwaita wanafiki kutokana na kuukacha uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika Uwanja wa Jangwani wiki iliyopita. Akizungumza na mwandishi wetu juzikati, Steve alisema ameshangazwa kuona baadhi ya wasanii kuikacha CCM na kuupigia debe Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao unaundwa na vyama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe awaumbua wanafiki CCM

MJUMBE wa Bunge Maalumu, Freeman Mbowe, amewaumbua wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa wengi wao ni wanafiki katika kuchangia mijadala na hoja bungeni. Mbowe alisema kutokana na unafiki huo,...

 

11 years ago

TheCitizen

Jussa: This is what carried us through

Tolerance, understanding and dedication were the secrets behind the success of the Draft Standing Orders Committee, the Constituent Assembly heard on Tuesday.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Makame amjibu Jussa

SIKU moja baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Ismail Jussa kuwashambulia mawaziri watatu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kudai ni wanafiki, waziri mmoja ameibuka na kujibu hoja....

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba ya Ismail Jussa Washington DC (Part2)



Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la kina mama CHADEMA DMV Bi Baybe Mgaza.

 

11 years ago

TheCitizen

Jussa nails Kificho on three-govt system

>A member of the Zanzibar House of Representatives (ZHR), Mr Ismail Jussa, has concurred with the interpretation of the Constitution Review Commission (CRC) on the recommendations by the ZHR on the structure of the Union

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani