Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe awaumbua wanafiki CCM

MJUMBE wa Bunge Maalumu, Freeman Mbowe, amewaumbua wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa wengi wao ni wanafiki katika kuchangia mijadala na hoja bungeni. Mbowe alisema kutokana na unafiki huo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mosha aacha siasa, alia na wanafiki ndani ya CCM

Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini (CCM), Davis Mosha amedai kuwa chama hicho kimejaa wanafiki jambo lililochangia kuanguka kwake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jussa awaumbua mawaziri

MJUMBE wa kamati namba sita, Ismail Jussa, amewaumbua mawaziri watatu wa Zanzibar, na wajumbe wa Bunge Maalumu, kuwa ni wanafiki walioshindwa  kusimamia msimamo wao juu ya muundo wa muungano. Alisema...

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI AWAUMBUA MASTAA!

Mwandishi Wetu KUFUATIA kuwepo kwa makundi yaliyotokana na watangaza nia 42 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakiwania nafasi ya urais, mastaa waliokuwemo ndani ya makundi hayo wameumbuka kufuatia ushindi wa John Pombe Magufuli,  Risasi Mchanganyiko lina ‘full’ stori. Soma zaidi===>http://bit.ly/1SmlWO2  

 

9 years ago

GPL

STEVE NYERERE AWAUMBUA MASTAA

Imelda Mtema STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amewachana wasanii kwa kuwaita wanafiki kutokana na kuukacha uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika Uwanja wa Jangwani wiki iliyopita. Akizungumza na mwandishi wetu juzikati, Steve alisema ameshangazwa kuona baadhi ya wasanii kuikacha CCM na kuupigia debe Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao unaundwa na vyama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe: CCM ni Mbugi

KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amekifananisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mchezo wa ‘Mbugi’. Wakati Mbowe akiwaita CCM Mbugi, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe: Tuliishika CCM

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Freeman Mbowe (CHADEMA), amesema kuwa waliufahamu mapema mkakati wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kutaka kuminya muda wa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Ray, Steve Nyerere Wanafiki Wakubwa

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ juzikati alijikuta akivunja ukimya kwa kusema kwamba, wasanii wenzake Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ ni wanafiki wakubwa baada ya kumtosa kwenye Pati ya Instagram iliyofanyika hivi karibuni jijini Mwanza.

Akizungumza na paparazi wa GPL, Wema alisema alikubaliana na mastaa hao kutoenda kwenye Shoo ya Zari All White Party iliyofanyika Mlimani City jijini Dar badala yake waongozane naye jijini Mwanza lakini wakamgeuka.

“Sitaki...

 

10 years ago

GPL

‘RAY, STEVE NYERERE WANAFIKI WAKUBWA'

Staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Musa Mateja
STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu juzikati alijikuta akivunja ukimya kwa kusema kwamba, wasanii wenzake Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ ni wanafiki wakubwa baada ya kumtosa kwenye Pati ya Instagram iliyofanyika hivi karibuni jijini Mwanza. Staa wa filamu Bongo,Steven Mengere ‘Steve Nyerere’....

 

10 years ago

Habarileo

CCM yatikisa kwa Mbowe, Lipumba

Viongozi wa UkawaMATOKEO ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa wiki kote nchini, yameendelea kuanikwa na kuonesha CCM imeendelea kung’ara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani