CCM yatikisa kwa Mbowe, Lipumba
MATOKEO ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa wiki kote nchini, yameendelea kuanikwa na kuonesha CCM imeendelea kung’ara.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kEEEVNUhKF0/Viu9bxU3vfI/AAAAAAABn64/ZKWQcscsuJ8/s72-c/IMG_8833.jpg)
CCM YATIKISA JIJI LA MWANZA,YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-kEEEVNUhKF0/Viu9bxU3vfI/AAAAAAABn64/ZKWQcscsuJ8/s640/IMG_8833.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R2WwLtFiFgQ/Viu9atWvMGI/AAAAAAABn6w/JIZe1b4Z0Sw/s640/IMG_8829.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lfMgnJ8lVm0/ViviUXOkzCI/AAAAAAADBb0/RylErjfX5mk/s640/_MG_9655.jpg)
9 years ago
Vijimambo11 Sep
CCM YATIKISA MUSOMA MJINI,MAGUFULI AENDELEA KUJIHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO KWA ZAIDI YA MIKOA 8
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12003009_425472354321665_2668868641474028774_n.jpg?oh=d9e066baebe2ddaff1319c7ddeb00947&oe=5675AB46)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11990648_425472380988329_5780316071103013976_n.jpg?oh=bb396ddc56e2a30a1c8b0fab76cfc0a2&oe=56A2A08F)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xlf1/v/t1.0-9/11990567_425472470988320_7641578406828913137_n.jpg?oh=b19dc59c4a0586c5e9eb00ff292fe5e2&oe=566ABD72)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11259910_425472540988313_3369467793127200908_n.jpg?oh=69856fd341751b1a02818c44c7e09841&oe=567128BD)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11988216_425472637654970_2253057064190294449_n.jpg?oh=571b6133bd73526a595ba10ee0dd2c6e&oe=5670A132)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12003235_425472687654965_7502610847493873047_n.jpg?oh=797d49598fe973747931ed3eafd5bcb6&oe=566329A7)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfl1/v/t1.0-9/11987075_425472870988280_5839460239772873068_n.jpg?oh=cefb88b5820836816325fe517e759fdb&oe=56A6539A)
11 years ago
Habarileo23 Mar
Lipumba, Mbowe kumjibu Kikwete
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamesema watajibu hotuba ya Rais Kikwete kwenye Bunge Maalum la Katiba na nje ya Bunge kwa kutumia taarifa mbalimbali za tume ya marekebisho ya katiba ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina. Katika mazungumzo yao na waandishi wa habari jana, viongozi wa umoja huo ambao ni kutoka vyama vya upinzani pia walishukuru wabunge wao kwa kutotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete anahutubia licha ya kuwa hotuba hiyo haikuwafurahisha kabisa.
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Kwa CCM tatizo si CHADEMA ni Mbowe
NDUGU wasomaji, ninapenda sana kuwapa pole kwa kifo cha shujaa wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi Nelson Ndlahla Mandela. Kila gazeti, runinga na redio zimeelezea wasifu wake kiasi cha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Lipumba, Mbatia, Mbowe na Vuai wakichangia mjadala Bungeni jioni hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8c45krtCORg/Ux347UMJAkI/AAAAAAAFSyg/7q_dkzVc_ko/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_FKZVjZKm8/Ux347c61Q9I/AAAAAAAFSyY/FI4XlaArAvg/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERMYs6B0aCk/Ux348NZtDsI/AAAAAAAFSyk/eVBTdYQJ8Bg/s1600/unnamed+(53).jpg)
11 years ago
TheCitizen25 Jul
Katiba Assembly 'to go on without Ukawa,' says Sitta team after Mbowe, Lipumba skip 'peace talks'
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yihHDlvuKFY/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo30 Sep
MWIGULU NCHEMBA ATUA KWA MBOWE NA MBATIA,SAME NA MWANGA...CCM YAENDELEA KUSAKA KURA KATA KWA KATA
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xlf1/v/t1.0-9/12065509_430666510468916_2949344703962473899_n.jpg?oh=882b2251b55176804bbc51250dcc3144&oe=565D6266)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/12039626_430666563802244_3358751447573480193_n.jpg?oh=c357368406a4667f6dd50dc6a29e6e6b&oe=56911F11&__gda__=1453512315_ce9e794d999df9f029e019a7fd38a46f)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/12079513_430666610468906_1900282480225230556_n.jpg?oh=61a796c2361a09bde035d2f05cfd3c3b&oe=56AB71DA&__gda__=1452340066_7f938f0b860e6874f42cd11881dd85b3)
10 years ago
Vijimambo27 May
Lowassa aongoza.Wafuatia Slaa, Magufuli, Membe, Makamba, Lipumba, Mbowe, Zitto, Ni matokeo ya utafiti mikoa 18.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-27May2015.jpg)
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.
Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi ya wagombea 31.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...