Lipumba, Mbatia, Mbowe na Vuai wakichangia mjadala Bungeni jioni hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Busara za viongozi wa kisiasa katika semina ya kujadili kanuni zimeokoa jahazi na kikao kuendelea salama leo jioni.
Mwenyekiti wa chama cha CUF na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Prof. Ibrahimu Lipumba akichangia.
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe.James Mbatia akichangia .
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Freeman Mbowe akichangia.
Naibu katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Tanzania Visiwani na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s72-c/lusinde.png)
"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni
![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s1600/lusinde.png)
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKjMM8A1FkcYiMqZ43UJMMCkwbURzhwrYDAwoOCXwsLNMmEBqKHa9Gpp3OGijX7qQSpS4InbIeMa7PiRtsye*j0a/10553489_879214282140644_7334558439819393564_n.jpg?width=750)
LIPUMBA, MBATIA NA MWIGULU WAKIFANYA YAO
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Prof Lipumba, Mbatia, Zitto waichana Serikali
10 years ago
Vijimambo07 Mar
LIPUMBA, NCHEMBA NA MBATIA WAKUTANA KWENYE UZINDUZI WA AZAM TV
![](http://api.ning.com/files/7F975s5rOKjMM8A1FkcYiMqZ43UJMMCkwbURzhwrYDAwoOCXwsLNMmEBqKHa9Gpp3OGijX7qQSpS4InbIeMa7PiRtsye*j0a/10553489_879214282140644_7334558439819393564_n.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/7F975s5rOKiZ8GzAL1IoABQOreEi0NiYk-QB6xFbpO4zlb4eUudinZOTIEYJ98vhgbutZkCwP0DlG3yFi216mjtTTOz9GRcx/10981440_879214715473934_1804820477128170043_n.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/7F975s5rOKjQI-uWNVQvNST0o3j5BJJtgCvs9O0iUNt8y6rc-TiNF0ntXrDZLEwuBNn7jLPt5KNNRj6lfHH6TCdyFuE*EEAf/11041739_879214448807294_5096161405598384190_n.jpg?width=750)
(PICHA GPL NA MTANDAO)
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu — Vuai Ally Vuai
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu kwani wao ni viongozi wa kwanza walio karibu na wananchi hivyo basi wanatakiwa kuwafahamu wakazi wa maeneo yao.
Hayo yamesemwa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai wakati akifungua semina ya siku moja ya uwezeshaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l0i_ga53EAY/VKJxkqytSfI/AAAAAAAG6kg/AxBOAjTwWvc/s72-c/33.jpg)
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu - Vuai Ally Vuai
![](http://1.bp.blogspot.com/-l0i_ga53EAY/VKJxkqytSfI/AAAAAAAG6kg/AxBOAjTwWvc/s1600/33.jpg)
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu kwani wao ni viongozi wa kwanza walio karibu na wananchi hivyo basi wanatakiwa kuwafahamu wakazi wa maeneo yao.
Hayo yamesemwa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai wakati akifungua semina ya siku moja ya uwezeshaji wa chama hicho kwa mabalozi (viongozi wa mashina) wa wilaya ya Lindi mjini.
Vuai...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Mbowe, Mbatia wafura kauli ya Kikwete
9 years ago
IPPmedia02 Sep
Lowassa, Sumaye, Mbowe, Mbatia: No comment for now
IPPmedia
IPPmedia
Former Chadema Secretary General Dr Wilbroad Slaa addresses news conference in Dar es Salaam yesterday on his weeks of absence from political forums. The former secretary general of the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ...
Richmond saga 'ex-PM making' - SlaaDaily News
all 5
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mbatia, Mbowe vicheko, Mrema augulia maumivu