"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni
![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s72-c/lusinde.png)
Kulikuwa na mvutano mkali sana bungeni wakati wabunge wakijadili hoja ya Lipumba kupigwa. Hapo chini nimekuwekea michango ya Lusinde na Sadifa waliyoitoa Bungeni:Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwaLusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo nzuri hiyo, siyo wapigwe wengine, kupigwa kazini ndiyo sawa
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s72-c/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
Je, Kuna Tatizo Gani Kula Nyama?
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s640/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Hoja ya Lipumba yajadiliwa Bungeni, Kauli ya ‘wapigwe tu’ yajirudia
9 years ago
StarTV24 Aug
Je wajua kauli gani ya Mwinyi iliyoivuruga UKAWA?Hii hapa.
![Mwinyi Aivuruga Ukawa, Kauli za Mkapa Zawapa Ukawa ‘Point’ Ya Kuanzia Mkapa na Mwinyi](http://i0.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Mkapa-na-Mwinyi.jpg?resize=640%2C336)
Katika uzinduzi huo ulihudhuriwa na rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na rais wa awamu ya awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete ambao wote walirusha makombora upande wa wapinzani wakimpigia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Lipumba, Mbatia, Mbowe na Vuai wakichangia mjadala Bungeni jioni hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8c45krtCORg/Ux347UMJAkI/AAAAAAAFSyg/7q_dkzVc_ko/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_FKZVjZKm8/Ux347c61Q9I/AAAAAAAFSyY/FI4XlaArAvg/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERMYs6B0aCk/Ux348NZtDsI/AAAAAAAFSyk/eVBTdYQJ8Bg/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Feb
JK azungumzia kupigwa kwa Lipumba
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-04Jan2015.jpg)
Rais Kikwete aliyasema hayo jana Ikulu jijini Dar es Salaam, baada ya kuwaeleza waandishi wa habari walichozungumza faragha na mgeni wake, Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck, na baadaye kuja mbele ya waandishi wa habari na kujibu maswali mbalimbali.
Akijibu swali la waandishi wa habari wa Ujerumani, aliyetaka...
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Kuna mgomo wa kuuza mafuta Tanzania? Mbunge John Mnyika kairudisha hii tena Bungeni.. (Audio)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_1259.jpg?resize=544%2C408)
11 years ago
Mwananchi04 May
Kuna maana gani kupoteza mabilioni haya kwa Katiba?
10 years ago
Vijimambo07 Jul
Kauli ya Mbunge Lusinde: Wananchi watoana ngeu.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/VSFM-ZJ9kMHM1naZ48XZe3xvrejvEIn8s04TRDY1dvnebKDx0AKuJZR1j0PegxsukUBnme0qqxQ9aijCPjXfJen2s896MkR9_Ki6_H9_1GT3SOk4uhdK=s0-d-e1-ft#http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Living-06July2015.jpg)
Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde.Mbunge wa Mtera, Livingston Lusinde, juzi alisababisha mapigano yaliyojeruhi wapigakura wake kadhaa.
Baadhi ya wapigakura wake kumzomea wakipinga hoja zake alizokuwa akitumia kujinadi katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nkwenda wilayani Chamwino, mkoani Dodoma.Mkutano uliondaliwa na serikali ya kijiji ili kumpa nafasi mbunge huyo kuzungumza na wananchi wake juu ya mambo mbalimbali ya maendeleo aliyoyafanya kwa taktibani miaka minne na nusu.
Alianza...