Je wajua kauli gani ya Mwinyi iliyoivuruga UKAWA?Hii hapa.
Chama Cha Mapinduzi (CCM), jana kilivunja rekodi yake kilipozindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam baada ya kuwakusanya maelfu ya wananchi waliojitokeza kuwasikiliza viongozi wa chama hicho na hasa mgombea urais, Dk. John Magufuli.
Katika uzinduzi huo ulihudhuriwa na rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na rais wa awamu ya awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete ambao wote walirusha makombora upande wa wapinzani wakimpigia...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s72-c/1.jpg)
KAULI MPYA YA MKAPA KUHUSU UKAWA, SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s640/1.jpg)
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM.Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tatu alisema kuwa lengo la vyama vya upinzani ni kuing’oa CCM na lengo la chama hicho tawala ni kuendelea...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s72-c/lusinde.png)
"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni
![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s1600/lusinde.png)
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E4npa758JZU/VkWY8CxJmdI/AAAAAAAIFoU/FRraU3rCCiI/s72-c/MMGL0021.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wSbg2UO_RxI/Ve_t1Q5pk3I/AAAAAAAAIjs/iLsi4o3hATM/s72-c/mrema%252Bleo.jpg)
UMESIKIA HII KAULI YA MREMA BAADA YA KUKOSA WATU KWENYE KAMPENI ZAKE? SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wSbg2UO_RxI/Ve_t1Q5pk3I/AAAAAAAAIjs/iLsi4o3hATM/s1600/mrema%252Bleo.jpg)
Mwenyekiti Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party TLP, na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Augustino Mrema, amelalamikia kuwa anafanyiwa siasa chafu na wapinzani wake.Akizungumza na waandishi wa habari jimboni Vunjo, Mrema amepeleka lawama moja kwa moja kwa viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, kwa kumchafua kwa matusi kwenye kampeni pamoja na kufanyiwa ubaguzi.“Siwalaumu wanachama wa CHADEMA, viongozi wao ndio wenye fujo na mimi, sasa najiuliza tatizo ni nini uzee wangu?...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Siri ya Warioba, Ukawa hii hapa
WAZIRI Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba na mwenzake katika wadhifa huo kwa nyakati tofauti za
Mwandishi Wetu
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NB_lyrZRum0/VfdHfnCnlNI/AAAAAAAH40s/zqWPN0RLQ-A/s72-c/download.jpg)
JE WAJUA MKATABA WAKO WA AJIRA NI WA AINA GANI KISHERIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NB_lyrZRum0/VfdHfnCnlNI/AAAAAAAH40s/zqWPN0RLQ-A/s640/download.jpg)
Na Bashir Yakub
Kama ilivyo makubaliano katika shughuli nyingine za kijamii ajira nayo huwa na makubaliano maalum wakati inapoingiwa. Makubaliano haya ndiyo huitwa mkataba na yumkini huingiwa kati ya wahusika wawili yaani muajiriwa na muajiri. Aina ya mahusiano wanayoingia wahusika ndiyo huibua aina za haki na wajibu kwa pande zote mbili. Mwenye haki hutakiwa kutoa haki hiyo kwa mwenzake naye mwenye wajibu huwa hana hiari isipokuwa ...
9 years ago
StarTV07 Sep
Umoja wa Vijana Geita wazindua kitabu maalumu je wajua kitabu gani?
Marafiki wa Magufuli Kanda ya Ziwa kupitia Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita wamezindua kitabu maalum kiitwacho TINGATINGA ikiwa ni sehemu mojawapo ya kampeni ndani na nje ya mkoa huo kitakachomnadi mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli.
Vijana hao wamesema kitabu cha TINGATINGA kitasaidia wananchi kumjua kiundani Dokta Magufuli kwa kuwa kitasambazwa mijini na vijijini wakiwa na imani kuwa watakaosoma na kukielewa kitabu hicho watafanya maamuzi sahihi kwa...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Wajua picha hii iliyovuma sana mtandaoni ilitoka wapi?
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qj_Oa3FW7og/U1dbhRvRqNI/AAAAAAAFccc/vNTMW3OJp_Y/s72-c/New+Picture+(8).bmp)