Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAULI MPYA YA MKAPA KUHUSU UKAWA, SOMA HAPA


Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM.Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tatu alisema kuwa lengo la vyama vya upinzani ni kuing’oa CCM na lengo la chama hicho tawala ni kuendelea...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

UMESIKIA HII KAULI YA MREMA BAADA YA KUKOSA WATU KWENYE KAMPENI ZAKE? SOMA HAPA



Mwenyekiti Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party TLP, na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Augustino Mrema, amelalamikia kuwa anafanyiwa siasa chafu na wapinzani wake.Akizungumza na waandishi wa habari jimboni Vunjo, Mrema amepeleka lawama moja kwa moja kwa viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, kwa kumchafua kwa matusi kwenye kampeni pamoja na kufanyiwa ubaguzi.“Siwalaumu wanachama wa CHADEMA, viongozi wao ndio wenye fujo na mimi, sasa najiuliza tatizo ni nini uzee wangu?...

 

10 years ago

GPL

UMETENDWA, UNATAKA KUANZISHA UHUSIANO MPYA? SOMA HAPA!

UHALI gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni Jumamosi nyingine tunakutana tena katika uwanja wetu wa kujidai na kuweza kupeana darasa la uhusiano.Ni dhahiri kwamba asilimia kubwa ya watu kabla ya kufikia kwenye hatua ya kufunga ndoa, wanakuwa wamepitia maumivu mengi. Wanatendwa vya kutosha. Wanakuwa na ‘majeraha’ ya kutosha. Kuna ambao huenda mbali zaidi kimawazo hadi kufikia hatua ya kusema ‘sitapenda...

 

9 years ago

StarTV

Je wajua kauli gani ya Mwinyi iliyoivuruga UKAWA?Hii hapa.

Mkapa na Mwinyi Chama Cha Mapinduzi (CCM), jana  kilivunja rekodi yake kilipozindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam baada ya kuwakusanya maelfu ya wananchi waliojitokeza kuwasikiliza viongozi wa chama hicho na hasa mgombea urais, Dk. John Magufuli.

Katika uzinduzi huo ulihudhuriwa na rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na rais wa awamu ya awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete ambao wote walirusha makombora upande wa wapinzani wakimpigia...

 

11 years ago

GPL

SEIF SHARIFF HAMAD KAZUNGUMZA LEO, KAULI ZAKE 7 KUHUSU MUUNGANO ZIKO HAPA

Maalim Seif Sharif Hamad. Amekua mmiliki wa vichwa vya habari kutokana na ripoti mbalimbali ambazo zimekua zikimnukuu kwa kudai kutoutaka muungano lakini leo April 15 2014 amezungumza kwenye maonyesho ya miaka 50 ya muungano ya kuzitoa hizi kauli zifuatazo. 1. ‘Pamoja na milima na mabonde, muungano huu umedumu miaka 50, nchi nyingine zilishindwa, lazima tufanye tathmini hasa ya muungano wetu, lazima vijana waelimishwe vp...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkapa atoa hadhari kuhusu Katiba Mpya

 Rais mstaafu, Benjamin Mkapa amewataka Watanzania kuwa waangalifu ili mchakato wa Katiba Mpya usiwe sababu ya kupigana au kufarakana ili kupata Katiba itakayoendelea kudumisha amani, upendo, utulivu na ushirikiano.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

KAULI YA UKAWA KUHUSU KUUNGA MKONO USHINDI WA MAALIM SEIF KWENYE UCHAGUZI WA ZANZIBAR

Ndugu Watanzania wenzangu Kama nilivyo waambia Viongozi Wakuu wa UKAWA walikaa juzi kutafakari hali ya kisiasa nchini na hususan Zanzibar na matukio yaliyoandamana na Uchaguzi Mkuu wa tarehe 25 Oktober mwaka huu. Wakuu wa UKAWA kwa kauli moja walikariri tamko lao la kumuunga mkono kwa dhati, Mh. Maalim Seif Sharif Hamad kwa ushindi wake dhahiri na kuitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani