SEIF SHARIFF HAMAD KAZUNGUMZA LEO, KAULI ZAKE 7 KUHUSU MUUNGANO ZIKO HAPA
![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*bf1tcWTdP9n*btivl*q-VNf9ux1zrtsnYHNwyc3kaYevMkt8wR18gsfkvgQBskJ9Bzyk-ZcL0*6o4xICIdtmQ/SEIFSHARIFF.jpg?width=650)
Maalim Seif Sharif Hamad. Amekua mmiliki wa vichwa vya habari kutokana na ripoti mbalimbali ambazo zimekua zikimnukuu kwa kudai kutoutaka muungano lakini leo April 15 2014 amezungumza kwenye maonyesho ya miaka 50 ya muungano ya kuzitoa hizi kauli zifuatazo. 1. ‘Pamoja na milima na mabonde, muungano huu umedumu miaka 50, nchi nyingine zilishindwa, lazima tufanye tathmini hasa ya muungano wetu, lazima vijana waelimishwe vp...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e4ug84pKEIo/VjnaS_1pgeI/AAAAAAADByI/0Mq8RJf9hC4/s72-c/jk3.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SHARIFF SEIF HAMAD
![](http://4.bp.blogspot.com/-e4ug84pKEIo/VjnaS_1pgeI/AAAAAAADByI/0Mq8RJf9hC4/s1600/jk3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A6jWzZsyHCY/VjnaS-nUmQI/AAAAAAADByE/ITZLHWoE2aw/s640/m1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-g0ceLqlFcRw/UzKHgrQnkaI/AAAAAAAFWc4/xGqckCDfl5A/s72-c/1.jpg)
Maalim Seif Shariff Hamad atembelea soko la matunda Mombasa.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/v5o4UtroreE/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Waziri Maselle awajibike kuhusu kauli zake
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2bjJJhuJIm0/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wSbg2UO_RxI/Ve_t1Q5pk3I/AAAAAAAAIjs/iLsi4o3hATM/s72-c/mrema%252Bleo.jpg)
UMESIKIA HII KAULI YA MREMA BAADA YA KUKOSA WATU KWENYE KAMPENI ZAKE? SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wSbg2UO_RxI/Ve_t1Q5pk3I/AAAAAAAAIjs/iLsi4o3hATM/s1600/mrema%252Bleo.jpg)
Mwenyekiti Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party TLP, na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Augustino Mrema, amelalamikia kuwa anafanyiwa siasa chafu na wapinzani wake.Akizungumza na waandishi wa habari jimboni Vunjo, Mrema amepeleka lawama moja kwa moja kwa viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, kwa kumchafua kwa matusi kwenye kampeni pamoja na kufanyiwa ubaguzi.“Siwalaumu wanachama wa CHADEMA, viongozi wao ndio wenye fujo na mimi, sasa najiuliza tatizo ni nini uzee wangu?...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s72-c/1.jpg)
KAULI MPYA YA MKAPA KUHUSU UKAWA, SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s640/1.jpg)
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM.Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tatu alisema kuwa lengo la vyama vya upinzani ni kuing’oa CCM na lengo la chama hicho tawala ni kuendelea...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-rm7KB0gCXRk/Vkko-ic047I/AAAAAAAAXH8/UxKUlUM3NL8/s72-c/Edward-Loawassa-Akihutubia-Press-Conference-Baada-ya-Kupokelewa-Rasmi-CHADEMA.jpg)
KAULI YA UKAWA KUHUSU KUUNGA MKONO USHINDI WA MAALIM SEIF KWENYE UCHAGUZI WA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CQ2mkNw5I-w/VWtA_jiQcOI/AAAAAAAHbA0/ZQB4LwYRqW0/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad leo amerejesha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-CQ2mkNw5I-w/VWtA_jiQcOI/AAAAAAAHbA0/ZQB4LwYRqW0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dv9J0lhRyGQ/VWtA_6HmImI/AAAAAAAHbBI/JceycW54RSs/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)