UMESIKIA HII KAULI YA MREMA BAADA YA KUKOSA WATU KWENYE KAMPENI ZAKE? SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wSbg2UO_RxI/Ve_t1Q5pk3I/AAAAAAAAIjs/iLsi4o3hATM/s72-c/mrema%252Bleo.jpg)
Mwenyekiti Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party TLP, na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Augustino Mrema, amelalamikia kuwa anafanyiwa siasa chafu na wapinzani wake.Akizungumza na waandishi wa habari jimboni Vunjo, Mrema amepeleka lawama moja kwa moja kwa viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, kwa kumchafua kwa matusi kwenye kampeni pamoja na kufanyiwa ubaguzi.“Siwalaumu wanachama wa CHADEMA, viongozi wao ndio wenye fujo na mimi, sasa najiuliza tatizo ni nini uzee wangu?...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s72-c/1.jpg)
KAULI MPYA YA MKAPA KUHUSU UKAWA, SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s640/1.jpg)
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM.Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tatu alisema kuwa lengo la vyama vya upinzani ni kuing’oa CCM na lengo la chama hicho tawala ni kuendelea...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
LUGE MUTAHABA FEKI AKAMATWA AKIWATAPELI WATU MBALIMBALI SOMA HAPA
![](https://scontent-fra.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/11046816_870041519705934_3181316657933699929_n.jpg?oh=3ffcb6dd9c62551f4d5fed1f0e4b96a1&oe=558262EF)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*bf1tcWTdP9n*btivl*q-VNf9ux1zrtsnYHNwyc3kaYevMkt8wR18gsfkvgQBskJ9Bzyk-ZcL0*6o4xICIdtmQ/SEIFSHARIFF.jpg?width=650)
SEIF SHARIFF HAMAD KAZUNGUMZA LEO, KAULI ZAKE 7 KUHUSU MUUNGANO ZIKO HAPA
10 years ago
Vijimambo05 May
BREAKING NEWS:BABU TALE APATA PIGO ZITO TENA HII LEO!!,SOMA HAPA
![](http://api.ning.com/files/Ytz*1w0-YzA0axHNXa1QL0MxF0lKc0r3*4UZ*aFlO30mzKI0cOd5544TiZf2wd5FdRTxeYlPy7llI4qfKI2loEFBPKHDU9wS/babtale.png)
Hamisi Shaban ‘Bab Tale’.MENEJA wa Kundi la Tip Top Connection na Diamond Platnumz, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, amefiwa na baba yake mzazi leo.Msiba huo umetokea ikiwa ni mwezi mmoja umepita tangu Bab Tale afiwe na kaka yake ambaye alikuwa mwanzilishi na meneja wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Shaban Taletale.
9 years ago
StarTV24 Aug
Je wajua kauli gani ya Mwinyi iliyoivuruga UKAWA?Hii hapa.
![Mwinyi Aivuruga Ukawa, Kauli za Mkapa Zawapa Ukawa ‘Point’ Ya Kuanzia Mkapa na Mwinyi](http://i0.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Mkapa-na-Mwinyi.jpg?resize=640%2C336)
Katika uzinduzi huo ulihudhuriwa na rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na rais wa awamu ya awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete ambao wote walirusha makombora upande wa wapinzani wakimpigia...
9 years ago
Bongo526 Oct
Swizz Beatz ampongeza Diamond kwa kumuita ‘King’ baada ya kushinda tuzo za MTV EMA, soma pongezi za mastaa wengine hapa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--Yrv5loffi8/VaF3nJj6o6I/AAAAAAAABto/Ohi363JINeU/s72-c/0.jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …
Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane. Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]
The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...