Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BREAKING NEWS:BABU TALE APATA PIGO ZITO TENA HII LEO!!,SOMA HAPA


Hamisi Shaban ‘Bab Tale’.MENEJA wa Kundi la Tip Top Connection na Diamond Platnumz, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, amefiwa na baba yake mzazi leo.Msiba huo umetokea ikiwa ni mwezi mmoja umepita tangu Bab Tale afiwe na kaka yake ambaye alikuwa mwanzilishi na meneja wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Shaban Taletale.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Babu Tale adai anatamani kufanya kazi tena na Z Anto

Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale amesema miongoni mwa wasanii wake wa zamani anaotamani kufanya nao kazi tena, ni Z Anto. Tale amesema Z Anto ni msanii mwenye heshima na kipaji. “Natamani nifanye naye tena kazi Z Anto,” Tale alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio. “Z Anto ana heshima, anaweza kazi. […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Nini tena kimemsibu Jacqueline Wolper? Hebu soma alivyofunguka hapa

Kupitia kwenye page yake moja ya mtandao maarufu wa kijamii nchini, mwanadada wolper amefunguka haya yafuatayo…

 

"Maandishi ya uwongoo yananiharibia sana huusianao wangu plz stok na msani yoyote Tanzania wala nyege zangu azimalizwi na msani yoyote Tanzania ninamwanaume wangu namuheshm ananiheshim nasipo kuweka mahusiano yangu adharanii wala mitandaoni Maana nimtu na heshima zake.. nimeumwa na nyoka mara ya kwAnza so ata jani likinigusa ninashtuka kikubwa sina mapenz ya matangazo wala...

 

9 years ago

Vijimambo

UMESIKIA HII KAULI YA MREMA BAADA YA KUKOSA WATU KWENYE KAMPENI ZAKE? SOMA HAPA



Mwenyekiti Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party TLP, na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Augustino Mrema, amelalamikia kuwa anafanyiwa siasa chafu na wapinzani wake.Akizungumza na waandishi wa habari jimboni Vunjo, Mrema amepeleka lawama moja kwa moja kwa viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, kwa kumchafua kwa matusi kwenye kampeni pamoja na kufanyiwa ubaguzi.“Siwalaumu wanachama wa CHADEMA, viongozi wao ndio wenye fujo na mimi, sasa najiuliza tatizo ni nini uzee wangu?...

 

11 years ago

Vijimambo

VULUGU KALI ZATOKEA LEO BUNGENI SOMA HAPA

Wabunge wa Chadema wakiwa wamesimama kukaidi amri ya Naibu spika, Job Ndugai ya kuwataka wakae chini Wabunge wa CHADEMA wakipambana na Polisi, Bungeni Mjini Dodoma leoMbunge wa Kuteuliwa na Mwenyekiti wa NCCR_MAGEUZI, James Mbatia akisahangaa kuona mapambano kati ya wabunge wa CHADEMA na Polisi Bungeni Kwa picha zaidi bofya soma zaidiMbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aakiwa ameng'ang'ania Migrophone ya sehemu ya Kuzungumzia wapinzani Bungeni wakati polisi walipokuwa wakimtoa Bungeni...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Utamaduni wa nyimbo za kundi umepungua – Babu Tale

Babu Tale

Ni muda mrefu sana hatujasikia nyimbo za makundi kama Tip Top au TMK Wanaume Family ambayo kipindi cha nyuma yalikuwa yakitoa nyimbo za kundi huku wasanii wake wakiendelea kutoa kazi za mmoja mmoja.

Babu Tale

Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale amezungumzia swala la makundi na kutoa sababu kwanini Tip Top hawajatoa nyimbo za kundi kwa kipindi kirefu.

“Utamaduni wa nyimbo za kundi umepungua, sio tu Tip Top, hakuna nyimbo ya kundi ya East Coast, hakuna nyimbo ya Kundi ya TMK wala ya Tip Top,...

 

10 years ago

Mtanzania

Babu Tale: Diamond hajapokea fedha za Lowassa

f03aa272bfLNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MENEJA wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’, Babu Tale, amesema hawajawahi kupewa kiasi cha fedha Sh mil 500 na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, ili wampigie kampeni za urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Babu Tale alisema watakuwa wehu kukataa fedha nyingi kiasi hicho wakati wenyewe wanafanya muziki ili kupata fedha, lakini ukweli ni kwamba hawajapewa kitu chochote.
Alisema hata hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani