HII NDO KAULI YA BENALD MEMBE BAADA YA KUONDOLEWA TANO BORA
![](http://2.bp.blogspot.com/--Yrv5loffi8/VaF3nJj6o6I/AAAAAAAABto/Ohi363JINeU/s72-c/0.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s72-c/MMGL0620.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM
![](http://3.bp.blogspot.com/-wdLXfrsULNw/VaC5nOnPysI/AAAAAAAHomM/-FUoRHWQLdg/s640/MMGL0620.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-AqsQY5O5aHU/VDMeDCnepQI/AAAAAAAAC6M/6PtfyESd60w/s72-c/Fid-Q-na-Stamina.jpg%20cursor:%20pointer;)
HII NDO KAULI YA 'FID Q' JUU YA 'STAMINA'
![](https://lh6.googleusercontent.com/-AqsQY5O5aHU/VDMeDCnepQI/AAAAAAAAC6M/6PtfyESd60w/Fid-Q-na-Stamina.jpg%20cursor:%20pointer;)
“Kwenye ukweli huwa nasema ukweli hiyo ndio Hip Hop, reality au uhalisia. Unajua tunasemaga tunawalisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gM_UI7Qbx_Q/VaEQiZmV5OI/AAAAAAADxR0/Y2dHYGmaEHw/s72-c/1.jpg)
MKUTANO WA NEC DODOMA: MEMBE APONGEZWA KUINGIA TANO BORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gM_UI7Qbx_Q/VaEQiZmV5OI/AAAAAAADxR0/Y2dHYGmaEHw/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wAm9t6k6sis/VaEQiRI1o0I/AAAAAAADxR8/-LEq_XUtmpU/s640/2.jpg)
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Tano bora yangu ya CCM ni hii
KAMA ningekuwa ni miongoni mwa wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), basi ningehaki
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
Vijimambo13 Jul
SABABU YA MEMBE KUTOPITISHWA TATU BORA HII HAPA
![](http://in2eastafrica.net/wp-content/uploads/2014/02/Bernard-Membe.jpg)
Majina yaliyopelekwa Nec mbali na Magufuli ni Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Amina Salum Ali, January Makamba na Bernard Membe.
Majina hayo yalipojulikana usiku wa Ijumaa wiki iliyopita, yaliibua taharuki mjini hapa kwa sababu miongoni mwa watu waliokuwa wanatazamwa kama wagombea wenye nguvu hawakuwako.
Hawa ni pamoja na Edward Lowassa, Profesa Mark Mwandosya, Stephen Wasira, Jaji Augustino Ramadhani na Samuel Sitta.
Wachambuzi...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …
Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane. Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]
The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wSbg2UO_RxI/Ve_t1Q5pk3I/AAAAAAAAIjs/iLsi4o3hATM/s72-c/mrema%252Bleo.jpg)
UMESIKIA HII KAULI YA MREMA BAADA YA KUKOSA WATU KWENYE KAMPENI ZAKE? SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wSbg2UO_RxI/Ve_t1Q5pk3I/AAAAAAAAIjs/iLsi4o3hATM/s1600/mrema%252Bleo.jpg)
Mwenyekiti Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party TLP, na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Augustino Mrema, amelalamikia kuwa anafanyiwa siasa chafu na wapinzani wake.Akizungumza na waandishi wa habari jimboni Vunjo, Mrema amepeleka lawama moja kwa moja kwa viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, kwa kumchafua kwa matusi kwenye kampeni pamoja na kufanyiwa ubaguzi.“Siwalaumu wanachama wa CHADEMA, viongozi wao ndio wenye fujo na mimi, sasa najiuliza tatizo ni nini uzee wangu?...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]
The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)