Mkapa atoa hadhari kuhusu Katiba Mpya
 Rais mstaafu, Benjamin Mkapa amewataka Watanzania kuwa waangalifu ili mchakato wa Katiba Mpya usiwe sababu ya kupigana au kufarakana ili kupata Katiba itakayoendelea kudumisha amani, upendo, utulivu na ushirikiano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s72-c/1.jpg)
KAULI MPYA YA MKAPA KUHUSU UKAWA, SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s640/1.jpg)
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM.Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tatu alisema kuwa lengo la vyama vya upinzani ni kuing’oa CCM na lengo la chama hicho tawala ni kuendelea...
11 years ago
Habarileo02 May
JK, Mkapa, Shein waonya mchakato wa Katiba mpya
VIONGOZI wa kitaifa wameonya kuhusu muelekeo wa mchakato wa kupata Katiba mpya, kwamba usiachiwe kuvuruga amani, upendo na mshikamano wa kitaifa, huku Rais Jakaya Kikwete akihadharisha kuwa isipopatikana, Katiba hiyo, itatafutwa tena miaka ijayo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QvdaVNfc2y8/U9UMxSBJnDI/AAAAAAAF7EM/3ZXJmzCFJNk/s72-c/unnamed.jpg)
RAZA ATOA YA MOYONI KUHUSU MCHAKATO WA KATIKA MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QvdaVNfc2y8/U9UMxSBJnDI/AAAAAAAF7EM/3ZXJmzCFJNk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eyG1Gm7m5fk/U9UNGOKfCYI/AAAAAAAF7EY/hZoM3epJxS8/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Jaji Bomani atoa ushauri kupata Katiba Mpya
10 years ago
Bongo523 Jan
Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Uamuzi wa wamisri kuhusu katiba mpya
11 years ago
Habarileo20 Apr
Padri aonya wabunge kuhusu Katiba mpya
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameaswa kutokubali kuvurugwa na vyama vyao vya siasa, wanapoandaa mchakato wa Katiba mpya, kwani kwa kufanya hivyo wanavuruga amani.
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wasomi waionya CCM kuhusu Katiba mpya
WASOMI na wafuatiliaji wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya wamekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuheshimu maoni ya wananchi yaliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Wananchi hao wamefikia hatua...
11 years ago
Michuzi02 Feb