Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa
Swali lililokuwepo kuhusu mjengo wa kifahari ambao mshindi wa BBA Hotshots, Idris Sultan ni kama amenunua au amepewa, na tayari mshindi huyo wa $300,000 za Biggy ametoa jibu. Idris amesema mjengo huo ni wa kwake, na ni zawadi kutoka kwa aliyekuwa boss wake: “Sasa hivi nina status flani kwahiyo natakiwa kujiweka vizuri kwasababu ni kioo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Kama ulitamani kumuona Ronaldo akiwa kocha, jibu lake lipo hapa kuhusu hilo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Natambua wadau wengi wa michezo wamekuwa wakitamani kumuona siku moja mchezaji bora wa dunia mara tatu, Cristiano Ronaldo (pichani) akiwa kocha wa klabu yoyote, jibu lipo hapa.
Akizungumza na mtandao wa michezo, El Mundo, Ronaldo alisema kuwa hana mpango wa kuja kuwa kocha na hivyo kumaliza maswali ambayo wadau mbalimbali wa michezo wamekuwa wakijiuliza.
Ronaldo alisema anataka kustaafu kucheza soka ndani ya miaka 5 hadi 10 ijayo lakini hana mpango wa kuwa kocha...
10 years ago
Bongo511 Sep
Jux azungumzia tetesi za kuhusu wimbo wake mpya ‘Sisikii’ kama amemuimbia Vanessa Mdee
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgV*wKRk1RcCkRkEZSP7Cb4T0jmuZ*7rFnLwQq0694ES18FFDyru7BclaC4*xiVdxJ8rHpRZQ8pqldR89TLDH-x/Davido2.jpg)
DAVIDO ATUPIA MTANDAONI MJENGO WAKE MPYA WA ATLANTA
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Mambo yaanza kumnyookea Ray C,kuanza ujenzi wa mjengo wake mpya
Mambo yameanza kumnyookea msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ baada kuonyesha picha ya kiwanja chake kipya kwenye mtandao huku akisema kuwa ataanza ujenzi muda si mrefu.
Aliandika hivi kwenye Instagram….Madawa yalinipotezea nyumba yangu ona sasa naanza...
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Mpya Kuhusu Wema na Idris, Picha Zajieleza
UBUYU: Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan hivi juzi kati wameonekana wakifanya vitendo ambavyo vimepelekea watu kuhisi kuwa wawili hao wapo kwenye mahusiano.
Kwa mujibu wa gazeti la Risasi, wawili hao walinaswa wakiyafanya hayo kwenye Ukumbi wa Escape One, Mikocheni jijini Dar walipokuwa wamekwenda kushuhudia shoo kali ya mpambano kati ya Bendi za The African Stars ‘Twanga Pepeta’ na FM Academia ‘Wazee...
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
9 years ago
Bongo516 Nov
Idris Sultan: Mimi na Samantha tumeachana
![IdrisSamantha1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/IdrisSamantha1-300x194.jpg)
Idris Sultan na Samantha wa Afrika Kusini hawapo tena pamoja – kwa mujibu wa mshindi huyo wa Big Brother Africa 2014.
Akiongea Jumapili, November 15 kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, Idris alithibitisha kuwa uhusiano wao umeshavunjika.
Samantha na Idris walikuwa wamefika mbali zaidi kwenye uhusiano wao kiasi cha mrembo huyo waliyefahamiana kwenye shindano hilo kuja Tanzania na kuishi na Idris kwa wiki kadhaa.
Idris akiwa na mtangazaji wa kipindi cha The Playlist, Lil Ommy
“It’s...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GRcdb-x-Fsg/default.jpg)