DAVIDO ATUPIA MTANDAONI MJENGO WAKE MPYA WA ATLANTA
![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2MaqbgV*wKRk1RcCkRkEZSP7Cb4T0jmuZ*7rFnLwQq0694ES18FFDyru7BclaC4*xiVdxJ8rHpRZQ8pqldR89TLDH-x/Davido2.jpg)
Davido. STAA wa muziki kutoka nchini Nigeria, Davido ametupia mtandaoni picha ya mjengo wake mpya uliopo huko Atlanta nchini Marekani. Davido ambaye anajiandaa kuachia albamu yake ya pili, alitupia picha hizo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram jana. Staa huyo bado yupo nchini Marekani na kupitia picha hizo aliandika kuwa mtoto wake wa kike atakuwa na chumba chake kikubwa ndani ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Sep
Picha: Huu ni mjengo mpya wa kifahari wa P-Square uliopo Atlanta, Marekani
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Mambo yaanza kumnyookea Ray C,kuanza ujenzi wa mjengo wake mpya
Mambo yameanza kumnyookea msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ baada kuonyesha picha ya kiwanja chake kipya kwenye mtandao huku akisema kuwa ataanza ujenzi muda si mrefu.
Aliandika hivi kwenye Instagram….Madawa yalinipotezea nyumba yangu ona sasa naanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7F012o2UHtV*4OJNB9DK56wpB1JdRvHWrOaJj8SxAG4svt2gbL-nhvJSE62WQxozgJtTemR*S7eetJBe8EvB57/bieber2.jpg?width=650)
BIEBER ATUPIA PICHA YA UTUPU MTANDAONI
10 years ago
Bongo523 Jan
Idris Sultan atoa jibu kuhusu mjengo wake mpya kama amenunua au amepewa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9msGxFArDLfTcz-tCnpJwK2xeIxLvXshbokNk2nD7Qu59sPMlji4mVsOAtzGNTFWFOIx7KA9W4JAJCJSTk7szcD/1.jpg)
AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE TATA NYINGINE MTANDAONI
9 years ago
Bongo525 Aug
Picha: Davido a-share picha mpya za mtoto wake wa kike zinazomuonesha vizuri sura
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Kerr atupia zigo la lawama nyota wake
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amewatupia lawama nyota wake kuwa ndio chanzo cha mwenendo mbaya wa klabu hiyo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kauli ya Kerr imekuja siku chache baada ya tetesi za kutumuliwa kwake kuzidi kushika kasi, kutokana na matokeo yasiyoridhisha ambayo yamekuwa yakiiandama timu hiyo katika siku za karibuni.
Simba inashika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu, ikiwa na jumla ya pointi 24, hadi sasa imefanikiwa...
10 years ago
CloudsFM04 Feb
JUX AUANIKA MJENGO WAKE
Baadhi ya mashabiki wake wamempongeza kwa hatua hiyo kwani wapo wasanii wengi wakubwa lakini hawana maendeleo kama yake.
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Mjengo Mpya wa Wema… Utata!
Muonekano wa mjengo huo.
Stori: Na Musa Mateja
UTATA umegubika kuhusu umiliki wa mjengo aliohamia staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ambapo maswali yanayowasumbua wengi ni je, ameingia kwa kupanga au ameununua? Amani linakwenda sambamba na msomaji.
TUANZIE HAPA
Hivi karibuni, Wema aliyekuwa akiishi kwenye nyumba ya kupanga iliyopo Kijitonyama ya Makumbusho jijini Dar, alidaiwa kutimuliwa na mwenye nyumba baada ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka...