Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Huu ni mjengo mpya wa kifahari wa P-Square uliopo Atlanta, Marekani

P-Square wameonesha mjengo wao mpya uliopo, Buckhead, Atlanta nchini Marekani. Hiyo ni nyumba yao ya tatu ya kifahari iliyopo nchini humo. “More blessings condo number 3, new home,big things instillation time,” wameandika kwenye ukurasa wao wa Facebook. “New landlords in Atlanta buckhead more blessing ….. Only God can do this,” wameandika kwenye picha nyingine. “We […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Huu ndio mjengo mpya watakaohamia Jay Z na Beyonce wenye thamani ya $40m uliopo Los Angeles

Jay Z na Beyonce wamepata mjengo mpya wa kifahari jijini Los Angeles watakaopanga baada ya ule wa mwanzo kuuzwa. Mtandao wa TMZ umedai kuwa nyumba hiyo ina thamani ya dola milioni 45 na ipo kwenye maeneo ya Holmby Hills jijini humo. Watakuwa wakilipa dola 150,000 kwa mwezi na watalipia kodi ya mwaka mzima. Hizi ni […]

 

10 years ago

GPL

DAVIDO ATUPIA MTANDAONI MJENGO WAKE MPYA WA ATLANTA

Davido. STAA wa muziki kutoka nchini Nigeria, Davido ametupia mtandaoni picha ya mjengo wake mpya uliopo huko Atlanta nchini Marekani. Davido ambaye anajiandaa kuachia albamu yake ya pili, alitupia picha hizo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram jana. Staa huyo bado yupo nchini Marekani na kupitia picha hizo aliandika kuwa mtoto wake wa kike atakuwa na chumba chake kikubwa ndani ya… ...

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce na Jay Z kununua mjengo huu, una thamani ya shilingi bilioni 145 (Picha)

Mwaka 2014, Beyonce peke yake aliingiza zaidi ya dola milioni 115 na Jay Z aliingiza zaidi ya dola milioni 60 na hivyo si kitu cha kushangaza kama wanandoa hao wenye nguvu wakitoa dola milioni 85, kununua mjengo wa kifahari uliopo huko, Beverly Hills estate. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Bey bna Jay wameonekana kwenye […]

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj na Meek Mill kununua mjengo wa kifahari pamoja

Nicki Minaj na Meek Mill wanaupeleka uhusiano wao next level kwa kuamua kununua mjengo wa kifahari pamoja. Kwa mujibu wa TMZ wapenzi hao wanataka kununua nyumba yenye vyumba 9 huko Hollywood Hills. Inadaiwa kuwa tangu Nicki aachane na mpenzi wake Safaree Samuels na nyumba waliyokuwa wakiishi kupangishwa, hana sehemu yake mwenyewe. Pia Meek anayetokea Philadelphia […]

 

10 years ago

Mtanzania

P-Square wanunua nyumba Atlanta

p squareATLANTA, MAREKANI

NYOTA wa muziki kutoka nchini Nigeria ambao wanaunda kundi la P-Square, Paul na Peter Okoye, wameonesha jeuri ya fedha baada ya kununua nyumba Atlanta, nchini Marekani.

Wasanii hao ambao wanatishia kwa utajiri barani Afrika, hiyo itakuwa ni nyumba yao ya tatu kuimiliki nchini Marekani.

Kupitia akaunti ya Instagram ya Paul, aliweka picha mbalimbali za nyumba hiyo na kuandika maneno ambayo yalisema: “Pongezi kwetu kwa kufanikisha zoezi la ununuzi wa nyumba nyingine, hii...

 

11 years ago

Bongo5

Picha/Audio: Utengenezaji wa video mpya ‘Mr. Oreo’ ya Iyanya, Marekani na sikiliza wimbo wake mpya ‘Story story’

Iyanya ni msanii wa Nigeria ambaye mwaka huu ameshirikishwa na star wa Bongo, Diamond Platnumz katika wimbo uitwao ‘Bum Bum’ ambao video yake imetoka hivi karibuni. Nyota huyo aka Mr. Kukere ambaye mwaka jana pia alikuja Tanzania na kutumbuiza katika tamasha la Fiesta Dar es salaam, ameachia single mpya iitwayo ‘Story story’ Feat. Oritsefemi. Hivi […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Idris Sultan anunua nyumba hii ya kifahari!

Ule usemi kuwa hakuna ‘baba/mama mwenye gari’ mjini bali kuna ‘baba/mama mwenye nyumba’, huenda ukawa umemuingia mshindi wa BBA 2014, Idris Sultan. Idris akiwa kwenye nyumba yake Kupitia Instagram, Idris ameonesha nyumba inayoonekana kuwa ameinunua au kukopeshwa na kumshukuru mtu aitwaye Ghalib Said Mohammed “I have seen thousands of people through my life time, got […]

 

10 years ago

Vijimambo

PATA VIKWANGUA ANGA JIJI LA ATLANTA, GEORGIA NCHINI MAREKANI

Vikwangua anga vya jiji la Atlanata jimbo la Georgia nchini Marekani


 

10 years ago

Bongo5

Picha: Muigizaji wa Kenya apoteza maisha kwenye ajali mbaya akiwa na gari ya kifahari

Muigizaji wa tamthilia nchini Kenya aliyejulikana kwa jina la Nana Gichuru Jumanne hii alipoteza maisha kwa ajali mbaya ya gari baada ya gari lake kugongana uso kwa uso na lori. Nana enzi za uhai wake Polisi na mashuhuda walidai kuwa muigizaji huyo huenda alikuwa akijaribu kuyapita magari kadhaa mbalimbali wakati akiwa kwenye gari yake aina […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani