Beyonce na Jay Z kununua mjengo huu, una thamani ya shilingi bilioni 145 (Picha)
Mwaka 2014, Beyonce peke yake aliingiza zaidi ya dola milioni 115 na Jay Z aliingiza zaidi ya dola milioni 60 na hivyo si kitu cha kushangaza kama wanandoa hao wenye nguvu wakitoa dola milioni 85, kununua mjengo wa kifahari uliopo huko, Beverly Hills estate. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Bey bna Jay wameonekana kwenye […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Picha: Huu ndio mjengo mpya watakaohamia Jay Z na Beyonce wenye thamani ya $40m uliopo Los Angeles
9 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2
![1214-floyd-mayweather-tmz-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1214-floyd-mayweather-tmz-2-300x194.jpg)
Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.
Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.
Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”
Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.
Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.
Hii ni mara ya...
9 years ago
Bongo529 Dec
Huu ni uthibitisho mwingine kuhusu ujio wa album ya pamoja ya Jay Z na Beyonce
![Jay-Z, Beyonce](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/jb-200x156.jpg)
Kwa takribani mwaka sasa kumekuwepo na tetesi kuwa Jay Z na Beyonce wanaandaa album ya pamoja ambayo ilisemekana ingetoka mwaka huu 2015.
Lakini hadi sasa ikiwa zimebaki siku mbili kumalizika mwaka hakuna dalili zozote za kupata album hiyo, japo kuna uthibitisho mwingine kuwa ni kweli album ya wanandoa hao iko jikoni.
Uthibitisho huo umetolewa na mwandishi wa nyimbo aitwaye Glass John, ambaye amedai kuwa yeye ni mmoja wa watu waliopewa kazi na Beyonce na mumewe kuandaa project hiyo.
“I am...
10 years ago
Bongo517 Sep
Diddy anunua na kuhamia kwenye nyumba ya thamani ya shilingi bilioni 66!
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...
10 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Mtazame mtoto wa Beyonce na Jay Z, Blue Ivy alivyokua
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!
10 years ago
Bongo513 Oct
Picha: Jay Z na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy wafurahia ‘vekesheni’ Paris
9 years ago
Bongo512 Sep
Picha: Huu ni mjengo mpya wa kifahari wa P-Square uliopo Atlanta, Marekani