Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Beyonce na Jay Z kununua mjengo huu, una thamani ya shilingi bilioni 145 (Picha)

Mwaka 2014, Beyonce peke yake aliingiza zaidi ya dola milioni 115 na Jay Z aliingiza zaidi ya dola milioni 60 na hivyo si kitu cha kushangaza kama wanandoa hao wenye nguvu wakitoa dola milioni 85, kununua mjengo wa kifahari uliopo huko, Beverly Hills estate. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Bey bna Jay wameonekana kwenye […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Huu ndio mjengo mpya watakaohamia Jay Z na Beyonce wenye thamani ya $40m uliopo Los Angeles

Jay Z na Beyonce wamepata mjengo mpya wa kifahari jijini Los Angeles watakaopanga baada ya ule wa mwanzo kuuzwa. Mtandao wa TMZ umedai kuwa nyumba hiyo ina thamani ya dola milioni 45 na ipo kwenye maeneo ya Holmby Hills jijini humo. Watakuwa wakilipa dola 150,000 kwa mwezi na watalipia kodi ya mwaka mzima. Hizi ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2

1214-floyd-mayweather-tmz-2

Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.

1214-floyd-mayweather-tmz-2

Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.

Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”

Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.

1214-subasset-floyd-mayweather-tmz-2

Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.

Hii ni mara ya...

 

9 years ago

Bongo5

Huu ni uthibitisho mwingine kuhusu ujio wa album ya pamoja ya Jay Z na Beyonce

Jay-Z, Beyonce

Kwa takribani mwaka sasa kumekuwepo na tetesi kuwa Jay Z na Beyonce wanaandaa album ya pamoja ambayo ilisemekana ingetoka mwaka huu 2015.

Jay-Z, Beyonce

Lakini hadi sasa ikiwa zimebaki siku mbili kumalizika mwaka hakuna dalili zozote za kupata album hiyo, japo kuna uthibitisho mwingine kuwa ni kweli album ya wanandoa hao iko jikoni.

Uthibitisho huo umetolewa na mwandishi wa nyimbo aitwaye Glass John, ambaye amedai kuwa yeye ni mmoja wa watu waliopewa kazi na Beyonce na mumewe kuandaa project hiyo.

“I am...

 

10 years ago

Bongo5

Diddy anunua na kuhamia kwenye nyumba ya thamani ya shilingi bilioni 66!

Diddy anahamia kwenye maeneo ya watu wazito jijini Los Angeles. Mtandao wa TMZ umedai kuwa staa huyo amenunua nyumba katika maeneo hayo yenye thamani ya dola milioni 40 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 66. Ipo maeneo ya Holmby Hills karibu na eneo alilofariki Michael Jackson. Nyumba hiyo ina vyumba vinane vya kulala na mabafu […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima

IMG_5996

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.

IMG_6007

Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mtazame mtoto wa Beyonce na Jay Z, Blue Ivy alivyokua

Beyonce na Jay Z wamekuza. Tazama picha za juzi za mtoto wao Blue Ivy akiwa na mama yake.

 

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Diamond Trust (DTB), Viju Cherian (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Hoteli ya Serena Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu benki hiyo kuuza hisa zenye thamani ya sh. bilioni 30 na kusherehekea miaka 70 ya uwepo wake tangu ianzishwe hapa nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa benki hiyo, Joseph Mabusi.  Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa benki hiyo, Joseph Mabusi (kulia), akizungumzia mafanikio mbalimbali  na...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Jay Z na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy wafurahia ‘vekesheni’ Paris

Jay Z na Beyonce wameendelea kuzipoteza tetesi za kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe, kwa kuendelea na vekesheni na mtoto wao, Blue Ivy. Wanandoa hao walimpeleka mtoto wao kwenye makumbusho ya Louvre jijini Paris na kupiga picha kadhaa, bila kusahau selfies. Jionee.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Huu ni mjengo mpya wa kifahari wa P-Square uliopo Atlanta, Marekani

P-Square wameonesha mjengo wao mpya uliopo, Buckhead, Atlanta nchini Marekani. Hiyo ni nyumba yao ya tatu ya kifahari iliyopo nchini humo. “More blessings condo number 3, new home,big things instillation time,” wameandika kwenye ukurasa wao wa Facebook. “New landlords in Atlanta buckhead more blessing ….. Only God can do this,” wameandika kwenye picha nyingine. “We […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani