Picha: Jay Z na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy wafurahia ‘vekesheni’ Paris
Jay Z na Beyonce wameendelea kuzipoteza tetesi za kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe, kwa kuendelea na vekesheni na mtoto wao, Blue Ivy. Wanandoa hao walimpeleka mtoto wao kwenye makumbusho ya Louvre jijini Paris na kupiga picha kadhaa, bila kusahau selfies. Jionee.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Mtazame mtoto wa Beyonce na Jay Z, Blue Ivy alivyokua
10 years ago
Bongo525 Aug
MTV VMA 2014: Jay Z na Blue Ivy walipopanda jukwaani kumkabidhi Beyonce tuzo na ‘kiss’ (picha)
10 years ago
Bongo504 Feb
Beyonce na Jay Z kuhamia L.A kutoka New York, wamwandikisha Blue Ivy kwenye shule ya milioni 25 kwa mwaka
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Jay Z ampeleka Blue Ivy makumbusho Thailand
BANGKOK, Thailand
NYOTA wa muziki nchini Marekani, Jay Z, amempeleka mwanawe nchini Thailand kwa ajili ya kuangalia makumbusho nchini humo.
Jay Z aliungana na mke wake, Beyonce na mtoto wao, Blue Ivy kwa ajili ya kumuonesha makumbusho mbalimbali, ikiwa ni sehemu ya kuufurahia mwaka 2015.
Baada ya kuwasili katika makumbusho ya Fantasea nchini humo, alikutana na Chui ambaye alikuwa anang’ara kwa rangi ya dhahabu huku ikiwa sawa na rangi ya nguo ambayo alivaa mtoto huyo, hali hiyo ilimfanya...
9 years ago
GPLJAY-Z Vs DIAMOND, TIFFAH Vs BLUE IVY, WANAVYOFUNIKA KWA REKODI
9 years ago
Bongo522 Dec
Jay Z na Beyonce washinda kesi ya kuhusiana na wimbo wao ‘Drunk In Love’
Jay Z na Beyonce wameshinda kesi iliyofunguliwa na muimbaji wa Hungary aliyedai kuwa wanandoa hao walitumia sauti yake kwenye wimbo wao ‘Drunk In Love.’
Muimbaji huyo aitwaye Mitsou aliwashtaki The Carters kwa kutumia sauti yake kwenye sekunde 90 za wimbo huo. Sample ni kutoka kwenye wimbo ‘Gypsy Life on the Road’ uliachiwa Marekani mwaka 1997. Alikuwa akitaka alipwe fidia kutokana na kutumika bila ridhaa yake.
Mitsou alifungua kesi hiyo chini ya sheria za haki za kiraia (Civil Rights Law)...
10 years ago
Bongo513 Mar
Wazazi katika shule anayosoma mtoto wa Beyonce na Jay Z walalamika, fahamu ni kwanini!
10 years ago
Bongo506 Dec
Beyonce na Jay Z kununua mjengo huu, una thamani ya shilingi bilioni 145 (Picha)