Wazazi katika shule anayosoma mtoto wa Beyonce na Jay Z walalamika, fahamu ni kwanini!
Kwa mujibu wa ripoti, wazazi kwenye shule ya awali anayosoma mtoto wa Jay Z na Beyonce huko Hollywood nchini Marekani wanachukizwa na kitendo cha Blue Ivy kupelekwa na kuchukuliwa na magari mawili na bodyguards wawili kila siku. Wazazi hao wamedai kuwa kila anapoletwa au kuchukuliwa mtoto mwingine eneo hilo hugeuka kuwa na kero kubwa. Vyanzo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Mtazame mtoto wa Beyonce na Jay Z, Blue Ivy alivyokua
Beyonce na Jay Z wamekuza. Tazama picha za juzi za mtoto wao Blue Ivy akiwa na mama yake.
10 years ago
Bongo513 Oct
Picha: Jay Z na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy wafurahia ‘vekesheni’ Paris
Jay Z na Beyonce wameendelea kuzipoteza tetesi za kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe, kwa kuendelea na vekesheni na mtoto wao, Blue Ivy. Wanandoa hao walimpeleka mtoto wao kwenye makumbusho ya Louvre jijini Paris na kupiga picha kadhaa, bila kusahau selfies. Jionee.
10 years ago
Bongo504 Feb
Beyonce na Jay Z kuhamia L.A kutoka New York, wamwandikisha Blue Ivy kwenye shule ya milioni 25 kwa mwaka
Beyonce na Jay Z wanahamia jijini Los Angeles baada ya kuishi jijini New York kwa miaka mingi, mtandao wa TMZ umedai. Umesema Beyonce na Jay Z kwa sasa wanaishi kwenye hoteli huko Beverly Hills na wanatafuta nyumba ya kununua. Mtandao huo pia umedai kuwa mastaa hao wamemwandikisha mtoto wao Blue Ivy mwenye miaka mitatu kwenye […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VitVR-Y00RNYrpy7w5A636ejrQAVs97Pt45OrU0KyltnxnC-SMqIY6Ima-WSw5fcjdlqopNbS96-3P0B54MzhoL/BEYONCENAJAYZ.jpg)
KISA RIHANNA, BEYONCE NA JAY Z WAINGIA KATIKA MGOGORO
Beyonce na Jay Z katika pozi. MWANAMUZIKI Beyoncé Giselle Knowles 'Beyonce' na mumewe Shawn Corey Carter 'Jay Z' wameripotiwa kuwa kwenye mgogoro tena huku mwanamuziki Rihanna akihusishwa. Wanandoa hao wapo kwenye mgogoro kutokana na simu ya siri ambayo Jay Z anadaiwa kuitumia kuwasiliana na Rihanna pasipo Beyonce kujua. Wanaume wengi wana simu za siri ambazo hutumia kuwasiliana na watu wao kwa siri, ila mara nyingi wanakuwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BEYONCE-1.jpg)
BEYONCE, JAY Z WAFUNIKA KATIKA TAMASHA LA TIDAL X 1020, MAREKANI
Madiva wawili Beyonce na Nick Minaj wakiwa katika pozi  kwenye Tamasha la Tidal X 1020 lilofanyika jana katika jiji la New York, Marekani .  Rapa…
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Nafasi ya wazazi katika mavazi ya mtoto
Katika maisha ya familia ndani ya jamii ni muhimu kwa mzazi kujenga utamaduni wa kumfunza watoto wako namna bora ya uvaaji.
10 years ago
Vijimambo11 May
KAUSINGIZI KA BEYONCE NA JAY-Z
![bey4](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/bey41.jpg?resize=451%2C300)
![bey](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/bey1.jpg?resize=425%2C283)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pNsFM6VE6DEaqKvec6vgoDUPMQwwDxXvvyYlzdoogV6U4Z0XoG6e3CplKbIs1aDfMe5RjNngvDLifV8-XN*1Cf/2.jpg?width=650)
BEYONCE, JAY Z WAIKACHA NDOA YA KANYE
Kanye West na Kim Kardashian wakifunga ndoa. Eneo walilofungia ndoa mastaa hao. Mastaa walioingia mitini Jay Z…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania