Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KISA RIHANNA, BEYONCE NA JAY Z WAINGIA KATIKA MGOGORO

Beyonce na Jay Z katika pozi. MWANAMUZIKI Beyoncé Giselle Knowles 'Beyonce' na mumewe Shawn Corey Carter 'Jay Z' wameripotiwa kuwa kwenye mgogoro tena huku mwanamuziki Rihanna akihusishwa. Wanandoa hao wapo kwenye mgogoro kutokana na simu ya siri ambayo Jay Z anadaiwa kuitumia kuwasiliana na Rihanna pasipo Beyonce kujua. Wanaume wengi wana simu za siri ambazo hutumia kuwasiliana na watu wao kwa siri, ila mara nyingi wanakuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIM KARDASHIAN, RIHANNA NA BEYONCE WALIVYOTOKELEZEA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI

Rihanna akiwa amevaa vazi la njano linalojulikana kama Guo Pei kwenye zulia jekundu.  Hapa palikuwa ni kwenye maonyesho ya mavazi yaliyojulikanakama Met Gala yaliyofanyika jijini New York, Marekani, jana.…

 

9 years ago

GPL

BEYONCE, JAY Z WAFUNIKA KATIKA TAMASHA LA TIDAL X 1020, MAREKANI

Madiva wawili Beyonce na Nick Minaj wakiwa katika pozi  kwenye Tamasha la Tidal X 1020 lilofanyika jana katika jiji la New York, Marekani .   Rapa…

 

10 years ago

Bongo5

Wazazi katika shule anayosoma mtoto wa Beyonce na Jay Z walalamika, fahamu ni kwanini!

Kwa mujibu wa ripoti, wazazi kwenye shule ya awali anayosoma mtoto wa Jay Z na Beyonce huko Hollywood nchini Marekani wanachukizwa na kitendo cha Blue Ivy kupelekwa na kuchukuliwa na magari mawili na bodyguards wawili kila siku. Wazazi hao wamedai kuwa kila anapoletwa au kuchukuliwa mtoto mwingine eneo hilo hugeuka kuwa na kero kubwa. Vyanzo […]

 

10 years ago

Vijimambo

KAUSINGIZI KA BEYONCE NA JAY-Z

bey4Kuna wakati Beyonce na mumewe Jay Z waliamua kuishi hotelini kwa muda wakidai hawajaona nyumba ya kununua kwa ajili ya wao kuweza kuishi.Ni hivi karibuni Jay Z ametajwa na jarida la Forbes kushika nafasi ya tatu kwa utajiri akiwa na zaidi ya dola milioni 500 kwa mastaa wa Hiphop wenye utajiri mkubwa zaidi. beySasa stori iliyochukua headlines ni wawili hao ni kuamua kununua nyumba ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 4 iliyopo New Orleans Garden, Marekani.Jengo hilo kabla ya kukarabatiwa...

 

11 years ago

GPL

BEYONCE, JAY Z WAIKACHA NDOA YA KANYE

Kanye West na Kim Kardashian wakifunga ndoa. Eneo walilofungia ndoa mastaa hao. Mastaa walioingia mitini Jay Z…

 

10 years ago

Bongo5

Jay Z na Beyonce kuja na album ya pamoja

Jay Z na Beyonce wameanza kurekodi album ya pamoja, kwa mujibu DJ Skee. DJ huyo amedai kuthibitisha suala hilo kutoka kwa chanzo zaidi ya kimoja. “Couple kubwa kwenye muziki, pengine kwenye burudani, pengine duniani, wanatengeneza album ya pamoja,” alisema. “You know who I’m talking about, Jay Z and Beyonce . I have confirmed and talked […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani