Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIM KARDASHIAN, RIHANNA NA BEYONCE WALIVYOTOKELEZEA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI

Rihanna akiwa amevaa vazi la njano linalojulikana kama Guo Pei kwenye zulia jekundu.  Hapa palikuwa ni kwenye maonyesho ya mavazi yaliyojulikanakama Met Gala yaliyofanyika jijini New York, Marekani, jana.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Vazi la Kim Kardashian, Rihanna lashangaza wengi

Kim Kardashian na kanyeruhanaBADI MCHOMOLO NA MITANDAO
MAVAZI ya mwanamuziki Rihanna na mwanamitindo, Kim Kardashian yamekuwa kivutio na kituko kwa mashabiki wao walipokuwa katika onyesho la Met Gala, huko nchini Marekani.
Kim alikuwa karibu muda wote na mume wake mwanamuziki, Kanye West, huku Rihanna akiwa wa mwisho kuingia katika onyesho hilo akionekana mpweke aliyefunikwa vema na gauni lake lililoonekana kama limemkumbatia.
Wawili hao walionekana katika onyesho la Met Gala, lililohudhuriwa na wasanii wa fani...

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ampiku Beyonce kama staa mwenye followers wengi Instagram

Beyonce amenyang’anywa rasmi taji la staa mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Kim Kardashian sasa amekuwa staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mtandao huo. Staa huyo wa Keeping Up With the Kardashians na mke wa Kanye West ana followers milioni 44.1 huku Beyonce akiwa nao milioni 44. Kim anaweza kuwa amemzidi Beyonce kwasababu […]

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI

Na Mwandishi wetuMbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...

 

10 years ago

GPL

KISA RIHANNA, BEYONCE NA JAY Z WAINGIA KATIKA MGOGORO

Beyonce na Jay Z katika pozi. MWANAMUZIKI Beyoncé Giselle Knowles 'Beyonce' na mumewe Shawn Corey Carter 'Jay Z' wameripotiwa kuwa kwenye mgogoro tena huku mwanamuziki Rihanna akihusishwa. Wanandoa hao wapo kwenye mgogoro kutokana na simu ya siri ambayo Jay Z anadaiwa kuitumia kuwasiliana na Rihanna pasipo Beyonce kujua. Wanaume wengi wana simu za siri ambazo hutumia kuwasiliana na watu wao kwa siri, ila mara nyingi wanakuwa...

 

10 years ago

Michuzi

pinda katika maonyesho ya mavazi yaliyoandaliwa na New Millenium Women Group

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katka picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burdani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini  Dar es salaam, Desemba 12, 2014.  Chakula hicho  kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha  kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani Shinyanga. Baadhi ya  washiriki wa maonyesho ya mavazi yaliyoandaliwa na  Umoja wa wake wa...

 

10 years ago

GPL

PINDA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YALIYOANDALIWA NA NEW MILLENIUM WOMEN GROUP

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katka picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burdani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini  Dar es salaam, Desemba 12, 2014.  Chakula hicho  kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha  kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani