Kim Kardashian ampiku Beyonce kama staa mwenye followers wengi Instagram
Beyonce amenyang’anywa rasmi taji la staa mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Kim Kardashian sasa amekuwa staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mtandao huo. Staa huyo wa Keeping Up With the Kardashians na mke wa Kanye West ana followers milioni 44.1 huku Beyonce akiwa nao milioni 44. Kim anaweza kuwa amemzidi Beyonce kwasababu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo519 Dec
Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4
11 years ago
Bongo531 Jul
Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9
10 years ago
Bongo505 Feb
Unataka followers wengi Instagram, fanya hivi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7OEHZGTPXKps2WbJa8q2sYXsPjT0vE4Pvk7yYBislfNOW9e7C68DpINokGsuOrP5xXxAJ3mGkGfimDLR0VLMu9r/2850649D000005783067950imagem307_1430786675177.jpg?width=750)
KIM KARDASHIAN, RIHANNA NA BEYONCE WALIVYOTOKELEZEA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI
9 years ago
Bongo529 Dec
Diamond aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram
![1663203_863176703798731_1287169950_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1663203_863176703798731_1287169950_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz si tu msanii aliyechukua tuzo kubwa zaidi kuliko wasanii wote wa Afrika mwaka huu (MTV EMA – Best Worldwide Act: Africa/India), bali pia ndiye msanii anayeishi barani Afrika mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram kwa sasa.
Awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii wa Nigeria, Davido.
Hata hivyo orodha ya mastaa waliofikisha followers milioni moja imeongozwa na watanzania.
Hii ni orodha kamili kwa mujibu wa namba za December, 29.
1. Diamond...
10 years ago
Mtanzania07 May
Vazi la Kim Kardashian, Rihanna lashangaza wengi
BADI MCHOMOLO NA MITANDAO
MAVAZI ya mwanamuziki Rihanna na mwanamitindo, Kim Kardashian yamekuwa kivutio na kituko kwa mashabiki wao walipokuwa katika onyesho la Met Gala, huko nchini Marekani.
Kim alikuwa karibu muda wote na mume wake mwanamuziki, Kanye West, huku Rihanna akiwa wa mwisho kuingia katika onyesho hilo akionekana mpweke aliyefunikwa vema na gauni lake lililoonekana kama limemkumbatia.
Wawili hao walionekana katika onyesho la Met Gala, lililohudhuriwa na wasanii wa fani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-1QKcpxDQeWTt4Z4sFF4K0C-H80zFZqIAEAkJHclALqTBcrmKTGfjiEeDtNdZCPuLgEtPj2CAg38t2IBF*mhmhP/Faiza.jpg)
FAIZA: HAKUNA STAA MWENYE FIGA KAMA YANGU