Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kim Kardashian ampiku Beyonce kama staa mwenye followers wengi Instagram

Beyonce amenyang’anywa rasmi taji la staa mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Kim Kardashian sasa amekuwa staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mtandao huo. Staa huyo wa Keeping Up With the Kardashians na mke wa Kanye West ana followers milioni 44.1 huku Beyonce akiwa nao milioni 44. Kim anaweza kuwa amemzidi Beyonce kwasababu […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4

Mtandao wa Instagram wiki hii umewapa majonzi baadhi ya watumiaji wake baada ya kufanya operation ya kufuta akaunti feki (spammy accounts ) na hivyo kuathiri namba ya followers kwa watu wengi. Asilimia 18.9 ya akaunti (fake) za Instagram zimefutwa kuanzia Jumatano hadi Alhamisi. “We’ve been deactivating spammy accounts from Instagram on an ongoing basis to […]

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

10 years ago

Bongo5

Unataka followers wengi Instagram, fanya hivi

Labda kama wewe ni staa, lakini kama ni mtu wa kawaida, kupata followers wengi kwenye Instagram sio rahisi. Lakini haya ni mambo kadhaa ambayo ukifanya huenda followers wakaongezeka. 1. Caption Beyoncé huweka picha nzuri sana kwenye Instagram lakini kama angekuwa anaziwekea caption, zingependeza zaidi. Hata hivyo huyo ni staa tayari hivyo hili linaweza lisiwe na […]

 

10 years ago

GPL

KIM KARDASHIAN, RIHANNA NA BEYONCE WALIVYOTOKELEZEA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI

Rihanna akiwa amevaa vazi la njano linalojulikana kama Guo Pei kwenye zulia jekundu.  Hapa palikuwa ni kwenye maonyesho ya mavazi yaliyojulikanakama Met Gala yaliyofanyika jijini New York, Marekani, jana.…

 

9 years ago

Bongo5

Diamond aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram

1663203_863176703798731_1287169950_n

Diamond Platnumz si tu msanii aliyechukua tuzo kubwa zaidi kuliko wasanii wote wa Afrika mwaka huu (MTV EMA – Best Worldwide Act: Africa/India), bali pia ndiye msanii anayeishi barani Afrika mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram kwa sasa.

1663203_863176703798731_1287169950_n

Awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii wa Nigeria, Davido.

Hata hivyo orodha ya mastaa waliofikisha followers milioni moja imeongozwa na watanzania.

Hii ni orodha kamili kwa mujibu wa namba za December, 29.

1. Diamond...

 

10 years ago

Mtanzania

Vazi la Kim Kardashian, Rihanna lashangaza wengi

Kim Kardashian na kanyeruhanaBADI MCHOMOLO NA MITANDAO
MAVAZI ya mwanamuziki Rihanna na mwanamitindo, Kim Kardashian yamekuwa kivutio na kituko kwa mashabiki wao walipokuwa katika onyesho la Met Gala, huko nchini Marekani.
Kim alikuwa karibu muda wote na mume wake mwanamuziki, Kanye West, huku Rihanna akiwa wa mwisho kuingia katika onyesho hilo akionekana mpweke aliyefunikwa vema na gauni lake lililoonekana kama limemkumbatia.
Wawili hao walionekana katika onyesho la Met Gala, lililohudhuriwa na wasanii wa fani...

 

10 years ago

GPL

FAIZA: HAKUNA STAA MWENYE FIGA KAMA YANGU

Stori: Imelda Mtema/Amani
MZAZI mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amesema kuwa hakuna staa yeyote hapa Bongo mwenye figa kama yake ya kuweza kuvaa ‘bikini’ na kujiachia kama yeye. Mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally. Akifunguka na Centre Spread, Faiza alisema kuwa wapo mastaa wengi wembamba lakini maumbo yao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani