Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAIZA: HAKUNA STAA MWENYE FIGA KAMA YANGU

Stori: Imelda Mtema/Amani
MZAZI mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amesema kuwa hakuna staa yeyote hapa Bongo mwenye figa kama yake ya kuweza kuvaa ‘bikini’ na kujiachia kama yeye. Mzazi mwenziye na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally. Akifunguka na Centre Spread, Faiza alisema kuwa wapo mastaa wengi wembamba lakini maumbo yao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hakuna mtoto wa staa mwenye mvuto zaidi ya Tanzanite — H.Baba

H.Baba amejigamba kwa kusema kuwa hakuna staa wa Tanzania mwenye mtoto mwenye mvuto kumzidi mwanae Tanzanite!!!!??? H.Baba ameiambia Bongo5 kuwa tayari mtoto wake huyo amepata tangazo la kimataifa nchini Kenya. “Mwezi ujao mama yake ana safari naye kwenda Kenya kufanya tangazo,” amesema muimbaji huyo. “Sema tunashindwa kuweka wazi mambo yetu kwa sasabu kuwa watu wanapiga […]

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ampiku Beyonce kama staa mwenye followers wengi Instagram

Beyonce amenyang’anywa rasmi taji la staa mwenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Kim Kardashian sasa amekuwa staa mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mtandao huo. Staa huyo wa Keeping Up With the Kardashians na mke wa Kanye West ana followers milioni 44.1 huku Beyonce akiwa nao milioni 44. Kim anaweza kuwa amemzidi Beyonce kwasababu […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Patcho Mwamba: Hakuna Staa wa Kike Ana Nyota Kama ya Wema Sepetu, Ila Dhambi Yake ni Moja...

Staa wa Bongo movies na mwanamziki wa Fm Academia Patcho Mwamba funguka kuwa staa mwennzake wa bongo movies, Wema Sepetu ana nyota kali zaidi ya mastaa wote wa kike wa hapa Bongo, Pacho ameyasema hayo akiwa anajibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?"

''Kwanza tuseme ukweli wa Mungu hamna staa wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ni star ni star ni star ni star sana upande wa wanawake wote ndani ya bongo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr: Hakuna Staa Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ametamba kuwa hakuna mchezaji staa ndani ya kikosi chake na hatosita kumweka benchi au kumtimua kabisa mchezaji yeyote ambaye hatofuata kile alichoelekezwa na benchi la ufundi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza: Najuta Kuvaa Nguo Iliyoonesha Makalio Yangu

Nguo aliyoivaa usiku wa June 13 kwenye tuzo za muziki za Kilimanjaro kwa nia ya kutoka kitofauti, imegeuka kuwa zimwi linalomtesa kiasi cha kumfanya apokonywe mtoto wake kwa amri ya mahakama na mzazi mwenzake, mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu. Faiza Ally anajuta!

“Siwezi kurudia kosa, nitakuwa makini zaidi katika mavazi yangu,” Faiza aliliambia gazeti la Mwananchi ambalo alienda kwenye ofisi zake kuelezea anavyojutia uamuzi huo uliomgharimu.

“Wasanii wengi ni...

 

10 years ago

Bongo5

Najuta kuvaa nguo iliyoonesha makalio yangu — Faiza

Nguo aliyoivaa usiku wa June 13 kwenye tuzo za muziki za Kilimanjaro kwa nia ya kutoka kitofauti, imegeuka kuwa zimwi linalomtesa kiasi cha kumfanya apokonywe mtoto wake kwa amri ya mahakama na mzazi mwenzake, mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu. Faiza Ally anajuta! “Siwezi kurudia kosa, nitakuwa makini zaidi katika mavazi yangu,” […]

 

10 years ago

GPL

JOHARI: SIHITAJI MUME STAA KAMA RAY

Imelda Mtema /Uwazi
STAA mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi ‘Ray’ bali anahitaji mume wa kawaida asiye maarufu. Akizungumza na Uwazi, Johari alisema kuwa kwa upande wake hachagui mwanaume gani wa kumuoa bali tu ajue kumthamini na kumuheshimu kama mwanamke. Staa mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula...

 

10 years ago

Bongo Movies

Elly G:Nasimama Mwenye na Kampuni Yangu

Mwigizaji na muongozaji wa filamu hapa Bongo Movie, Elia Daniel ‘Elly G’ amesema kwa sasa ameamua kusimama mwenyewe katika filamu zake katika kuimarisha kampuni yake mpya ya filamu, akiongea na FC msanii huyo amesema kuwa tayari ana filamu moja mkononi ambayo anatarajia kuitoa mwezi huu.

“Tatizo la kazi zetu niusambazaji tu, unahangaika location lakini ukimalizima mtihani unaipeleka wapi? Lakini nashukru kwa sasa nipo na mkataba na Mpwapwa Entertainment na wanaanza na filamu yangu ya Sadaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Loga: Hakuna mwenye namba Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Logarusic Zdravko, amewataka nyota wake kujituma katika mazoezi kuwa fiti zaidi ili kupata namba katika kikosi cha kwanza akisema haoni mwenye uhakika wa namba. Loga aliyejipambanua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani