PINDA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YALIYOANDALIWA NA NEW MILLENIUM WOMEN GROUP
![](http://api.ning.com:80/files/x9KBpl7z4r*oA1QXPmU-Cn5Uin2UzwV-AJfUEmqbGY89dbleZcrjirWn92mHBQQiefDAr*FbVlZC2kBh9c25qaIVerhJkjZd/unnamed5.jpg?width=650)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katka picha ya pamoja na wanachama wa Umoja wa wake wa viongozi ( New Millenium Women Group) katika chakula cha jioni kilichoambatana na burdani mbalimbali kwenye ukumbi wa Kardinal Rugambwa, Oysterbay jijini Dar es salaam, Desemba 12, 2014. Chakula hicho kiliandaliwa ili kuchangisha fedha kwa ajili ya maboresho ya kituo cha kulea watoto yatima cha Buhangija mkoani...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IO-EdRHOMLg/VIwzQqQ2J6I/AAAAAAAG2-8/Qb1OBfVi6Mc/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
pinda katika maonyesho ya mavazi yaliyoandaliwa na New Millenium Women Group
![](http://2.bp.blogspot.com/-IO-EdRHOMLg/VIwzQqQ2J6I/AAAAAAAG2-8/Qb1OBfVi6Mc/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5O4WRaC1GlA/VIwzPyQUd5I/AAAAAAAG2-w/9G-YToeMy70/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7OEHZGTPXKps2WbJa8q2sYXsPjT0vE4Pvk7yYBislfNOW9e7C68DpINokGsuOrP5xXxAJ3mGkGfimDLR0VLMu9r/2850649D000005783067950imagem307_1430786675177.jpg?width=750)
KIM KARDASHIAN, RIHANNA NA BEYONCE WALIVYOTOKELEZEA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI
10 years ago
Michuzi03 Nov
SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
![Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014016](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014016.jpg)
Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru Afrika.
Afrika Kusini...
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Shamrashamra za manunuzi ya bidhaa katika banda la MeTL Group maonyesho ya Sabasaba
Ofisa Mtendaji wa Masoko wa Kampuni ya bima ya MO (MO ASSURANCE), Tawheeda Isaack, akisikiliza maoni kutoka kwa mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la Kampuni ya MO Assurance lililopo ndani ya banda la MeTL Group katika maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea kutimua vumbi kwenye viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Meneja mwendeshaji wa Kampuni ya bima ya MO, (MO ASSURANCE), Ravinshankar Venkatrama (kulia) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mbunifu Sheria Ngowi afunika katika maonyesho ya mavazi ya ‘Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014′ nchini Afrika Kusini
Na Mwandishi wetu
Mbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita ‘PRIDE’ yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nHeNiQI5mxQ/UvZtPwc5aoI/AAAAAAAFLyg/_V1rjZd25bU/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
MELLINIUM WOMEN GROUP YASAIDIA WASICHANA WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-nHeNiQI5mxQ/UvZtPwc5aoI/AAAAAAAFLyg/_V1rjZd25bU/s1600/New+Picture+(7).bmp)
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda alieleza kuwa, wake wa viongozi waliguswa baada ya kukutana na Bibi. Consoler Eliya mwaka jana katika mkutano wa wanawake wajiwezeshe kiuchumi ambaye ni miongoni mwa wasichana walioishi katika mazingira magumu na kuahidi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014015.jpg?width=600)
10 years ago
Dewji Blog07 May
Pinda atembelea maonyesho ya biashara ya Syria yanayoendelea katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea maua wakati alipoingia kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam kutembelea maonyesho ya biashara ya Cyria Mei 6, 2015. Kushoto ni balozi wa Syria nchini, Abdulmounem Annanna kulia ni Mratibu wa maonyesho hayo, Fetian Abdulal. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Balozi wa Syria nchini, Abdulmounem Annan wakikata keki wakati Waziri Mkuu alipotembelea maonyesho ya Biashara ya Syria kwenye ukumbi wa Diamond...