Jay Z na Beyonce kuja na album ya pamoja
Jay Z na Beyonce wameanza kurekodi album ya pamoja, kwa mujibu DJ Skee. DJ huyo amedai kuthibitisha suala hilo kutoka kwa chanzo zaidi ya kimoja. “Couple kubwa kwenye muziki, pengine kwenye burudani, pengine duniani, wanatengeneza album ya pamoja,” alisema. “You know who I’m talking about, Jay Z and Beyonce . I have confirmed and talked […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Dec
Huu ni uthibitisho mwingine kuhusu ujio wa album ya pamoja ya Jay Z na Beyonce
![Jay-Z, Beyonce](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/jb-200x156.jpg)
Kwa takribani mwaka sasa kumekuwepo na tetesi kuwa Jay Z na Beyonce wanaandaa album ya pamoja ambayo ilisemekana ingetoka mwaka huu 2015.
Lakini hadi sasa ikiwa zimebaki siku mbili kumalizika mwaka hakuna dalili zozote za kupata album hiyo, japo kuna uthibitisho mwingine kuwa ni kweli album ya wanandoa hao iko jikoni.
Uthibitisho huo umetolewa na mwandishi wa nyimbo aitwaye Glass John, ambaye amedai kuwa yeye ni mmoja wa watu waliopewa kazi na Beyonce na mumewe kuandaa project hiyo.
“I am...
9 years ago
Bongo514 Aug
Tid na Q Chillah wamaliza tofauti zao, waahidi kuja na album ya pamoja
10 years ago
Vijimambo11 May
KAUSINGIZI KA BEYONCE NA JAY-Z
![bey4](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/bey41.jpg?resize=451%2C300)
![bey](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/bey1.jpg?resize=425%2C283)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pNsFM6VE6DEaqKvec6vgoDUPMQwwDxXvvyYlzdoogV6U4Z0XoG6e3CplKbIs1aDfMe5RjNngvDLifV8-XN*1Cf/2.jpg?width=650)
BEYONCE, JAY Z WAIKACHA NDOA YA KANYE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmdJHXc8jaEB-SCzhNZ4WY3TGy3t6thdy*sv3BjWwQ9tF1ZOJkzrA1ibGRzU8EV5npE1r7znNni8sb2JIcJ1osj/JayZandBEyonceromanticwalkINF.jpg?width=650)
BEYONCE, JAY Z MAHABA KAMA WAMEANZA JANA!
9 years ago
Bongo503 Nov
Tidal ya Jay Z kuja na series za vichekesho
![Jay Z](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Jay-Z-94x94.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Pro. Jay kuja na ‘Tatu Chafu’
BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha ‘Kipi sijasikia’, mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesar Jay’, anatarajiwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la...