Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pro. Jay kuja na ‘Tatu Chafu’

BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha ‘Kipi sijasikia’, mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesar Jay’, anatarajiwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Music: Professor Jay f/ J Hustle & Nigga J – Tatu Chafu

Profesa Jay ameachia ngoma yake mpya, ‘Tatu Chafu’ iliyofanyika kwenye studio yake, Mwanalizombe Records chini ya producer, Villy. Kwenye ngoma hii, Professor J amewashirikisha J Hustle (ambaye ni Prof aliyekuwa underground mwenye hasira na Nigga J aliyekuwa Hard Blasters Crew (HBC) na Professor J ndio yule ‘The Heavy Weight MC’.

 

10 years ago

Bongo5

New Music Videos: Professor Jay – Tatu Chafu & Kipi Sijasikia

Joseph Haule a.k.a Professor Jay ameachia video zake mbili kwa mpigo,’Tatu Chafu’ aliyofanya na director Hefemi pamoja na Kipi Sijasikia iliyoongozwa na Adam Juma.

 

10 years ago

Bongo5

Professor Jay: video za ‘Tatu Chafu’ & ‘Kipi Sijasikia’ zimewagawanya sana watu

Professor Jay amesema video za nyimbo zake mbili ‘Kipi Sijasikia’ na ‘Tatu Chafu’ alizoziachia mwezi uliopita zimekuwa na ushindani mkubwa, kiasi cha kuwagawa mashabiki ambao wapo waliopenda zaidi ‘Tatu Chafu’ na wengine ‘Kipi Sijasikia’. “Kitu kikubwa ambacho kimenionesha ni kwamba hizi video zinachuana sana yaani zimewaganwanya watu” Professor Jay ameiambia Bongo 5. “Hizi video zimewagawanya […]

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Tidal ya Jay Z kuja na series za vichekesho

Jay ZKampuni ya Tidal, inayomilikiwa na Jay Z inatarajia kuanzisha series za vichekezo. Kwa mujibu wa Variety, Tidal itaonesha series mbili mpya. Series hizo ni pamoja na kipindi cha No Small Talk kinachowapa fursa wachekeshaji wachanga na kuendeshwa Cipha Sounds ambacho kinaanza Jumanne hii, November 3. Mradi mwingine ni msimu wa pili wa Money & Violence […]

 

10 years ago

Bongo5

Jay Z na Beyonce kuja na album ya pamoja

Jay Z na Beyonce wameanza kurekodi album ya pamoja, kwa mujibu DJ Skee. DJ huyo amedai kuthibitisha suala hilo kutoka kwa chanzo zaidi ya kimoja. “Couple kubwa kwenye muziki, pengine kwenye burudani, pengine duniani, wanatengeneza album ya pamoja,” alisema. “You know who I’m talking about, Jay Z and Beyonce . I have confirmed and talked […]

 

11 years ago

Bongo5

Professor J ajishirikisha mwenyewe kwenye ‘Tatu Chafu’ kwa majina ya J Hussle na Nigga J

Rapper mkongwe Professor J anatarajia kuachia single yake mpya iitwayo ‘Tatu Chafu’ iliyotayarishwa kwenye studio yake ya Mwanalizombe chini ya producer Villy. Akiongea na Bongo5 leo, Professor amesema kwenye wimbo amewashirikisha J Hussle na Nigga J ambao hata huvyo ni yeye mwenyewe. “Watu walikuwa wana kiu sana na mimi siku nyingi nilikuwa sijarelease ngoma kwahiyo […]

 

10 years ago

Michuzi

GREEN WASTE PRO ltd WAENDESHA KAMPENI YA WIKI TATU YA KUFANYA USAFI KATIKATI YA JIJI

DSC_0355
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd. wadau na wananchi wakijipanga tayari kuanza kampeni ya wiki tatu ya kusafisha maeneo mbalimbali ya katikati ya jiji iliyozinduliwa rasmi na Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond Mushi ikiwa ni awamu ya kwanza kwa mwaka huu kabla ya kuelekea kwenye kata nyingine mbili zilimo ndani ya manispaa ya Ilala wakishirikiana na wananchi.
Na Mwandishi wetuWILAYA ya Ilala imeanzisha kampeni ya wiki tatu ya usafi katika maeneo yaliyopo katikati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani