Pro. Jay kuja na ‘Tatu Chafu’
BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha ‘Kipi sijasikia’, mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesar Jay’, anatarajiwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo531 Jul
New Music: Professor Jay f/ J Hustle & Nigga J – Tatu Chafu
Profesa Jay ameachia ngoma yake mpya, ‘Tatu Chafu’ iliyofanyika kwenye studio yake, Mwanalizombe Records chini ya producer, Villy. Kwenye ngoma hii, Professor J amewashirikisha J Hustle (ambaye ni Prof aliyekuwa underground mwenye hasira na Nigga J aliyekuwa Hard Blasters Crew (HBC) na Professor J ndio yule ‘The Heavy Weight MC’.
10 years ago
Bongo515 Sep
New Music Videos: Professor Jay – Tatu Chafu & Kipi Sijasikia
Joseph Haule a.k.a Professor Jay ameachia video zake mbili kwa mpigo,’Tatu Chafu’ aliyofanya na director Hefemi pamoja na Kipi Sijasikia iliyoongozwa na Adam Juma.
10 years ago
Bongo506 Oct
Professor Jay: video za ‘Tatu Chafu’ & ‘Kipi Sijasikia’ zimewagawanya sana watu
Professor Jay amesema video za nyimbo zake mbili ‘Kipi Sijasikia’ na ‘Tatu Chafu’ alizoziachia mwezi uliopita zimekuwa na ushindani mkubwa, kiasi cha kuwagawa mashabiki ambao wapo waliopenda zaidi ‘Tatu Chafu’ na wengine ‘Kipi Sijasikia’. “Kitu kikubwa ambacho kimenionesha ni kwamba hizi video zinachuana sana yaani zimewaganwanya watu” Professor Jay ameiambia Bongo 5. “Hizi video zimewagawanya […]
11 years ago
GPL31 Jul
9 years ago
Bongo503 Nov
Tidal ya Jay Z kuja na series za vichekesho
![Jay Z](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Jay-Z-94x94.jpg)
10 years ago
Bongo517 Sep
Jay Z na Beyonce kuja na album ya pamoja
Jay Z na Beyonce wameanza kurekodi album ya pamoja, kwa mujibu DJ Skee. DJ huyo amedai kuthibitisha suala hilo kutoka kwa chanzo zaidi ya kimoja. “Couple kubwa kwenye muziki, pengine kwenye burudani, pengine duniani, wanatengeneza album ya pamoja,” alisema. “You know who I’m talking about, Jay Z and Beyonce . I have confirmed and talked […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EcbC6jILNn2htLB4wyR*iiawEpnbxPzOijVgNCqPGlalR0a3lyNGBAi0Joa3R0jqwNz8NLL72j1EEghGkbyHrDJUM58lAs5x/PROFESAJ.jpg?width=650)
11 years ago
Bongo525 Jul
Professor J ajishirikisha mwenyewe kwenye ‘Tatu Chafu’ kwa majina ya J Hussle na Nigga J
Rapper mkongwe Professor J anatarajia kuachia single yake mpya iitwayo ‘Tatu Chafu’ iliyotayarishwa kwenye studio yake ya Mwanalizombe chini ya producer Villy. Akiongea na Bongo5 leo, Professor amesema kwenye wimbo amewashirikisha J Hussle na Nigga J ambao hata huvyo ni yeye mwenyewe. “Watu walikuwa wana kiu sana na mimi siku nyingi nilikuwa sijarelease ngoma kwahiyo […]
10 years ago
Michuzi08 Sep
GREEN WASTE PRO ltd WAENDESHA KAMPENI YA WIKI TATU YA KUFANYA USAFI KATIKATI YA JIJI
![DSC_0355](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0355.jpg)
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya usafi ya Green Waste Pro Ltd. wadau na wananchi wakijipanga tayari kuanza kampeni ya wiki tatu ya kusafisha maeneo mbalimbali ya katikati ya jiji iliyozinduliwa rasmi na Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond Mushi ikiwa ni awamu ya kwanza kwa mwaka huu kabla ya kuelekea kwenye kata nyingine mbili zilimo ndani ya manispaa ya Ilala wakishirikiana na wananchi.
Na Mwandishi wetuWILAYA ya Ilala imeanzisha kampeni ya wiki tatu ya usafi katika maeneo yaliyopo katikati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania