NEW AUDIO: PROFESSOR JAY - 3 CHAFU
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo531 Jul
New Music: Professor Jay f/ J Hustle & Nigga J – Tatu Chafu
Profesa Jay ameachia ngoma yake mpya, ‘Tatu Chafu’ iliyofanyika kwenye studio yake, Mwanalizombe Records chini ya producer, Villy. Kwenye ngoma hii, Professor J amewashirikisha J Hustle (ambaye ni Prof aliyekuwa underground mwenye hasira na Nigga J aliyekuwa Hard Blasters Crew (HBC) na Professor J ndio yule ‘The Heavy Weight MC’.
11 years ago
Bongo515 Sep
New Music Videos: Professor Jay – Tatu Chafu & Kipi Sijasikia
Joseph Haule a.k.a Professor Jay ameachia video zake mbili kwa mpigo,’Tatu Chafu’ aliyofanya na director Hefemi pamoja na Kipi Sijasikia iliyoongozwa na Adam Juma.
11 years ago
GPL04 Apr
11 years ago
Bongo506 Oct
Professor Jay: video za ‘Tatu Chafu’ & ‘Kipi Sijasikia’ zimewagawanya sana watu
Professor Jay amesema video za nyimbo zake mbili ‘Kipi Sijasikia’ na ‘Tatu Chafu’ alizoziachia mwezi uliopita zimekuwa na ushindani mkubwa, kiasi cha kuwagawa mashabiki ambao wapo waliopenda zaidi ‘Tatu Chafu’ na wengine ‘Kipi Sijasikia’. “Kitu kikubwa ambacho kimenionesha ni kwamba hizi video zinachuana sana yaani zimewaganwanya watu” Professor Jay ameiambia Bongo 5. “Hizi video zimewagawanya […]
11 years ago
Bongo525 Jul
Professor J ajishirikisha mwenyewe kwenye ‘Tatu Chafu’ kwa majina ya J Hussle na Nigga J
Rapper mkongwe Professor J anatarajia kuachia single yake mpya iitwayo ‘Tatu Chafu’ iliyotayarishwa kwenye studio yake ya Mwanalizombe chini ya producer Villy. Akiongea na Bongo5 leo, Professor amesema kwenye wimbo amewashirikisha J Hussle na Nigga J ambao hata huvyo ni yeye mwenyewe. “Watu walikuwa wana kiu sana na mimi siku nyingi nilikuwa sijarelease ngoma kwahiyo […]
10 years ago
Bongo530 Oct
Nitaendelea kufanya muziki — Professor Jay

10 years ago
AllAfrica.Com29 Oct
Professor Jay Wins Parliamentary Seat
AllAfrica.com
Tanzanian legendary hip-hop artiste Joseph Haule aka Professor Jay is the new Mikumi Constituency member of parliament. The 40-year-old rapper, who so far has five solo studio albums, beat his fellow contestants in a hotly-contested elections that ...
10 years ago
AllAfrica.Com27 Aug
Rapper Professor Jay Gunning for MP Seat
AllAfrica.com
After his announcement in May that he will be joining politics, popular Tanzanian hip-hop artiste Joseph Haule aka Professor Jay has finally made his plans a reality. The 40-year-old and multiple award-winning Hapo Vipi hit rapper confirmed that his ...
10 years ago
Bongo527 Oct
Professor Jay ni mbunge mteule wa Mikumi
Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Professor Jay amechaguliwa kuwa mbunge wa Mikumi mkoani Morogoro. Jay ambaye alikuwa anawania ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA, ametangazwa rasmi kuwa mbunge mteule wa jimbo hilo baada ya kupata kura 32,259 dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Jonas Nkya wa CCM aliyepata kura 30,425. Kwa mujibu wa ITV, msimamizi […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania