Nitaendelea kufanya muziki — Professor Jay
Mbunge mteule wa Mikumi kipitia tiketi ya CHADEMA, Joseph Haule aka Professor Jay, amesema ataendelea kufanya muziki hata akiwa bungeni kwa sababu ndio kitu kilichomfikisha hapo alipo. Professor amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa ataendelea kukiheshimu kipaji chake licha ya kupata tiketi ya kuingia bungeni. “Muziki niliokuwa nikiufanya na ninaoendelea kuufanya ni sauti […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL31 Jul
9 years ago
AllAfrica.Com29 Oct
Professor Jay Wins Parliamentary Seat
AllAfrica.com
Tanzanian legendary hip-hop artiste Joseph Haule aka Professor Jay is the new Mikumi Constituency member of parliament. The 40-year-old rapper, who so far has five solo studio albums, beat his fellow contestants in a hotly-contested elections that ...
9 years ago
AllAfrica.Com27 Aug
Rapper Professor Jay Gunning for MP Seat
AllAfrica.com
After his announcement in May that he will be joining politics, popular Tanzanian hip-hop artiste Joseph Haule aka Professor Jay has finally made his plans a reality. The 40-year-old and multiple award-winning Hapo Vipi hit rapper confirmed that his ...
9 years ago
Bongo527 Oct
Professor Jay ni mbunge mteule wa Mikumi
Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Professor Jay amechaguliwa kuwa mbunge wa Mikumi mkoani Morogoro. Jay ambaye alikuwa anawania ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA, ametangazwa rasmi kuwa mbunge mteule wa jimbo hilo baada ya kupata kura 32,259 dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Jonas Nkya wa CCM aliyepata kura 30,425. Kwa mujibu wa ITV, msimamizi […]
10 years ago
Bongo514 Sep
Picha: Uzinduzi wa video mbili za Professor Jay
Gwiji wa muziki wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule aka Professor Jay usiku wa Jumamosi aliwapa zawadi mashabiki na wapenzi wa muziki wake kwa kwenye uzinduzi wa video zake mbili mpya, Tatu Chafu na Kipi Sijasikia. Uzinduzi huo ulifanyika ndani ya ukumbi wa Ten Lounge zamani ukifahamika kama Letasi Lounge uliopo maeneo ya Victoria jijini […]
10 years ago
Michuzi26 Sep
11 years ago
GPL04 Apr
11 years ago
Bongo530 Jul
Chege: Nitaendelea kufanya video na directors wa Bongo mpaka watu waelewe
Msanii wa muziki kutoka TMK, Chege Chingunda amesema ataendelea kufanya video na waongozaji wa ndani pamoja na watanzania kushindwa kuthamini video za wasanii zinazotengenezwa na waongozaji hao wa nyumbani. Chege ameiambia Bongo5 kuwa hata Nigeria ambao wanaonekana wapo juu barani Africa, walianza kujulikana ndani ya nchi yao baada ya wananchi wao kuwasupport ndipo walipopata fursa […]
9 years ago
Bongo531 Oct
Nitaendelea kufanya Hip Hop hata kama itanilipa au haitanilipa — Stamina
![Stamina](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/Stamina3-94x94.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania