Nitaendelea kufanya Hip Hop hata kama itanilipa au haitanilipa — Stamina
Tumeshuhudia wasanii wengi wa muziki wakibadilika kutoka kwenye aina ya muziki waliokuwa wakifanya na kuhamia kwenye aina nyingine kwa sababu za kibiashara. Rapper Stamina amesema kamwe biashara haiwezi kuja kumbadilisha kutoka kwenye muziki wa Hip Hop anaofanya na kuhamia kuimba au mtindo mwingine wowote. “Mi hizi habari za muziki wa biashara sitaki hata kuzisikia,” Stamina […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Nov
Nitaimba hata Taarab kama itanilipa – Nay wa Mitego
![nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nay-300x194.jpg)
Baada ya kutoa wimbo mpya, Nyumbani Kwetu, Nay wa Mitego amedai kuwa amepokea changamoto za baadhi ya wasanii kumdiss kuwa amehama kwenye hip hop na kufanya muziki mwingine.
Nay ameiambia Bongo5 kuwa anafanya muziki unaohitajika na mashabiki wake na yupo tayari kuimba hata Taarab kama itamlipa.
“Wapo ambao wanaendelea kudiss nimetoka kabisa kwenye Hip Hop na sipaswi kujiita mwanahiphop. Muziki ndio kazi yangu na ninafanya kile wanachohitaji mashabiki, nitaimba hata Taarab kama itakuwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s72-c/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP
![](http://3.bp.blogspot.com/-QlkfBN0BMVg/VfpRVYi2U5I/AAAAAAAD7rs/sPyS4TmvR2U/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0B_Dy7O2VNE/VfpRVpp2OSI/AAAAAAAD7rw/II801JgrByg/s400/Bongo-Flava-Logo%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH4THt4GZubCIpnGFVqser2zwOoxatMGTsl9ju*ATUt86Zo52BZnDs7SmYCooqhae92n-ts6ZMqUfKjg9M0moA0d/futureciarabreakup.jpg?width=650)
MASTAA WA HIP HOP MAREKANI WANAVYOACHANA, KAMA NJUGU MAWE
10 years ago
CloudsFM19 Nov
BANANA ZORO: YUPO KATIKA MAFUNZO YA KUFANYA MUZIKI WA HIP HOP
Msanii wa Bongo Fleva,Banana zoro baada ya kufanya miziki ya aina nyingi kuanzia Rnb, Zouk, Afro Pop, Rock na mengineyo kwa zaidi ya miaka 10 aliyotumikia kwenye muziki wa Bongo flava, sasa hivi ameingia darasani kufundishwa jinsi ya kurap na kufanya muziki wa Hiphop, na mwalimu wake ni Mwana fa.
‘’Nimefanya miziki ya aina nyingi kwenye Bongo Fleva,na sasa nimeingia darasani kufanya hip hop na mwalimu wangu Mwana FA kwahiyo mashabiki wangu wasubirie tu,’’alisema Banana...
9 years ago
Bongo517 Sep
Njia za kukusaidia kufanya mabadiliko hata kama kubadilika ni kazi ngumu
9 years ago
AllAfrica.Com29 Oct
Hip Hop Star Now MP in Tanzania
The Star
AllAfrica.com
Tanzanian Hip Hop singer Joseph Haule popularly known as Professor Jay has won a parliamentary seat in the Tanzanian elections. The star clinched the Mikumi Constituency seat on an Opposition Chadema (Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo) ticket.
Professor Jay wins parliamentary seatThe Star
all 3
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Vichwa vinavyoibeba Hip Hop
MUZIKI wa Tanzania hususan wa kizazi kipya ‘Bongofleva’ unazidi kupasua anga kila kukicha kutokana na sababu kadha wa kadha, hivyo kukubalika kwa wengi. Awali wakati vijana wa miaka 90 walipoanza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BFNK9EkP88E/UxSEP9xwvMI/AAAAAAAFQzo/_3AkVYq_c98/s72-c/Haki+Cover.jpg)
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Chemical: Hip hop si ya wanaume tu
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Claudia Lubao ‘Chemical’, amewataka wasanii wa kike wafanye vitu vinavyoonekana vigumu kufanywa na wanawake ili wadhihirishie umma sera ya haki sawa kwa wote.
Chemical alisema mabinti wengi wanahofu ya kufanya aina hiyo ya muziki kwa sababu inaeleweka kuwa muziki ni kwa ajili ya wanaume pekee kitu ambacho si sahihi.
“Kikubwa ni kuthubutu na kufanya kile tunachokipenda bila kujali kitapokelewa kwa mtazamo gani kama mimi nafurahi kuwa...