Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Njia za kukusaidia kufanya mabadiliko hata kama kubadilika ni kazi ngumu

Viongozi wazuri huweza kushughulikia mabadiliko vizuri, iwe kwenye ngazi ya kisiasa, kijamii na hata kibiashara. Rais Jonathan anaweza akawa mtu wa kuigwa kwenye siasa za Nigeria kitu ambacho mataifa mengi ya Afrika wanashindwa kufanya na hata yale ya Mashariki ya Kati. Kuna viongozi wao wanadhani wao ndio kila kitu au miungu wadogo lakini ukweli wa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nitaendelea kufanya Hip Hop hata kama itanilipa au haitanilipa — Stamina

StaminaTumeshuhudia wasanii wengi wa muziki wakibadilika kutoka kwenye aina ya muziki waliokuwa wakifanya na kuhamia kwenye aina nyingine kwa sababu za kibiashara. Rapper Stamina amesema kamwe biashara haiwezi kuja kumbadilisha kutoka kwenye muziki wa Hip Hop anaofanya na kuhamia kuimba au mtindo mwingine wowote. “Mi hizi habari za muziki wa biashara sitaki hata kuzisikia,” Stamina […]

 

9 years ago

Raia Mwema

Kama iko hata chembe ya mabadiliko, chembe hiyo itakuwa Ukawa

KICHWA cha makala ya wiki hii nimekiteua kwa makusudi kabisa kwa sababu kadhaa.

Jenerali Ulimwengu

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Njia tano za kufanya kazi kutoka nyumbani

Mlipuko wa virusi vya corona kunafanya watu wengi wafanye kazi kutokea nyumbani kwa mara ya kwanza. Hizi ni njia za kufanya kwa ufanisi.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza

Tuesday, September 15, 2015 KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani. Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kampeni […]

The post Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yanayoweza kukusaidia kutambua kama ujumbe unaopata ni sahihi

Ninaamini unafahamu nini inabidi kifanyike ili kuwe na mawasiliano ya kauli. Lazima kuwapo na kitendo cha kusema na kusikiliza, lakini ili mchakato wa kutuma ujumbe ukamilike, lazima pia ujumbe utoke kwa mtu mmoja kwenda mwingine na pia iwepo njia ya kutuma ujumbe.

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Mambo yanayoweza kukusaidia kutambua kama ujumbe unaopata ni sahihi

Ninaamini unafahamu nini inabidi kifanyike ili kuwe na mawasiliano ya kauli. Lazima kuwapo na kitendo cha kusema na kusikiliza, lakini ili mchakato wa kutuma ujumbe ukamilike, lazima pia ujumbe utoke kwa mtu mmoja kwenda mwingine pia iwepo njia ya kutuma ujumbe.

 

11 years ago

CloudsFM

NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA

Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.

 

10 years ago

Michuzi

LHRC WAJITOA KUFANYA UANGALIZI UCHAGUZI WA JUMAPILI KWA NJIA ZA KISASA,TIZAMA WATAKAVYOFANYA KAZI HAPA

Mkuu wa dawati la uangalizi wa chaguzi na bunge LHRC KHAMIS MKINDI akizungumza na wnahabari juu ya mfumo huo ambao watautumia katika uchaguzi huo unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa wiki huu siku ya jumapili

Na Exaud mtei
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania uchaguzi unaotarajiwa kufanyika siku ya jumapili ya mwisho wa wiki hii,kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC leo kimetangaza kufanya uangalizi wa uchaguzi huo kwa njia ya TEHEMA yaani ICT-election monitoring katika mikoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu

NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani