Njia za kukusaidia kufanya mabadiliko hata kama kubadilika ni kazi ngumu
Viongozi wazuri huweza kushughulikia mabadiliko vizuri, iwe kwenye ngazi ya kisiasa, kijamii na hata kibiashara. Rais Jonathan anaweza akawa mtu wa kuigwa kwenye siasa za Nigeria kitu ambacho mataifa mengi ya Afrika wanashindwa kufanya na hata yale ya Mashariki ya Kati. Kuna viongozi wao wanadhani wao ndio kila kitu au miungu wadogo lakini ukweli wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo531 Oct
Nitaendelea kufanya Hip Hop hata kama itanilipa au haitanilipa — Stamina
![Stamina](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/Stamina3-94x94.jpg)
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Kama iko hata chembe ya mabadiliko, chembe hiyo itakuwa Ukawa
KICHWA cha makala ya wiki hii nimekiteua kwa makusudi kabisa kwa sababu kadhaa.
Jenerali Ulimwengu
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Njia tano za kufanya kazi kutoka nyumbani
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza
Tuesday, September 15, 2015 KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani. Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kampeni […]
The post Zitto Kabwe: CCM Imeoza…..Haiwezi Kubadilika Hata akija MALAIKA Kuiongoza appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Mambo yanayoweza kukusaidia kutambua kama ujumbe unaopata ni sahihi
9 years ago
Mwananchi01 Nov
SAIKOLOJIA : Mambo yanayoweza kukusaidia kutambua kama ujumbe unaopata ni sahihi
11 years ago
CloudsFM10 Jun
NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA
Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.
10 years ago
Michuzi13 Dec
LHRC WAJITOA KUFANYA UANGALIZI UCHAGUZI WA JUMAPILI KWA NJIA ZA KISASA,TIZAMA WATAKAVYOFANYA KAZI HAPA
Na Exaud mtei
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania uchaguzi unaotarajiwa kufanyika siku ya jumapili ya mwisho wa wiki hii,kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC leo kimetangaza kufanya uangalizi wa uchaguzi huo kwa njia ya TEHEMA yaani ICT-election monitoring katika mikoa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu
NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...