Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA

Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Producer Dupy adai wasanii wakubwa ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure!

Wasanii wakubwa wa muziki nchini ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure, kwa mujibu wa producer wa Upraise Records, Dupy. Dupy amedai kuwa hali hiyo imemfanya hadi sasa kuwa na nyimbo alizowatengeneza Izzo B na Juma Nature pekee. “Wasanii wengi wakubwa wana zile za kujuana,” Dupy ameiambia Bomba Base Show ya Bomba FM Radio, Mbeya. “Mtu […]

 

10 years ago

Bongo5

Wakenya wamkalia shingoni Victoria Kimani baada ya kuwaambia hawasupport wasanii wao

Victoria Kimani analihisi joto la hasira kutoka kwa wakenya walioanzisha hashtag #SomeoneTellVictoriaKimani baada ya juzi kuwalalamikia kuwa wamekuwa nyuma kuwaunga mkono wasanii wao. “Life without art is hell….how can the Kenyan youth not have an interest in the arts ? Who robbed us of our self expression?” alitweet Kimani. “Lupita had to travel and be […]

 

9 years ago

Bongo5

Afya ya Tuddy Thomas yaendelea kuimarika

Mtayarishaji wa muziki Tuddy Thomas aliyevamiwa hivi karibuni na vibaka na kukatwa mapanga akiwa nje ya maeneo ya Mlimani City jijini Dar es Salaam, anaendelea vizuri. Tuddy amesema tayari ameshaanza kufanya mazoezi madogo madogo ili kuimarisha afya yake. “Naendelea salama ingawa bado sijakaa vizuri, nafanya mazoezi, kwa sababu niliumia mikono yote,” Tuddy alikiambia kipindi cha […]

 

9 years ago

Bongo5

Fid Q kufanya kazi na producer wa Kare ya P-Unit, Musyoka

Fid

Fid Q huenda akaungana na producer wa Kenya, Erik Musyoka kupika jiwe jipya.

Fid

Wawili hao walikutana kwenye Coke Studio Africa jijini Nairobi, Kenya. Kwa mujibu wa blog ya show hiyo, Musyoka alidai angependa kufanya kazi Fid Q baada ya kuvutiwa na uwezo wake. Wawili hao walizungumza kuhusu kufanya kazi pamoja.

Musyoka ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wanaoheshimika zaidi nchini Kenya. Miongoni mwa nyimbo alizozipika ni pamoja na Kare ya P-Unit. Mwaka jana pia Mwana FA na AY walifanya...

 

10 years ago

Bongo5

Mr Nice arudi kufanya kazi na producer wake aliyemtoa, Kameta

Baada ya kunusurika kifo mwezi April mwaka huu, Lucas Mkenda aka Mr Nice ameibuka na kuzungumzia mipango yake mipya ya kazi yake ya muziki ambayo ilisimama baada ya kupata ajali mbaya ya bajaj iliyomsababisha kukaa muda mrefu akisubiri kupona. Nice ambaye ni mwimbaji na mwanzilishi wa staili ya Takeu, amesema amefanya kazi mpya na producer […]

 

5 years ago

Bongo5

Benpol amnasa producer aliyewahi kufanya kazi na Jennifer Lopez na Trey Songz

Msanii wa muziki wa R&B Benpol ametumiwa beat na mmoja kati ya maproducer wakubwa wa muziki wa nchini Marekani ambaye ameshawahi kufanya kazi na wasanii wakubwa kama Busta Rhymes, Jennifer Lopez, Trey Songz na wengine.

Akiongea na Bongo5 Jumanne hii, Ben Pol amesema kwa sasa deal hiyo imefikia katika hatua nzuri,huku akidai tayari ameshatumiwa beat kwa ajili ya kuanza kazi.

“Kuna kazi nafanya na producer mkubwa wa Marekani ila siwezi kumtaja, kwani ni mapema sana lakini tayari ameshafanya...

 

11 years ago

CloudsFM

ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA

Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Njia tano za kufanya kazi kutoka nyumbani

Mlipuko wa virusi vya corona kunafanya watu wengi wafanye kazi kutokea nyumbani kwa mara ya kwanza. Hizi ni njia za kufanya kwa ufanisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani