Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fid Q kufanya kazi na producer wa Kare ya P-Unit, Musyoka

Fid

Fid Q huenda akaungana na producer wa Kenya, Erik Musyoka kupika jiwe jipya.

Fid

Wawili hao walikutana kwenye Coke Studio Africa jijini Nairobi, Kenya. Kwa mujibu wa blog ya show hiyo, Musyoka alidai angependa kufanya kazi Fid Q baada ya kuvutiwa na uwezo wake. Wawili hao walizungumza kuhusu kufanya kazi pamoja.

Musyoka ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wanaoheshimika zaidi nchini Kenya. Miongoni mwa nyimbo alizozipika ni pamoja na Kare ya P-Unit. Mwaka jana pia Mwana FA na AY walifanya...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mr Nice arudi kufanya kazi na producer wake aliyemtoa, Kameta

Baada ya kunusurika kifo mwezi April mwaka huu, Lucas Mkenda aka Mr Nice ameibuka na kuzungumzia mipango yake mipya ya kazi yake ya muziki ambayo ilisimama baada ya kupata ajali mbaya ya bajaj iliyomsababisha kukaa muda mrefu akisubiri kupona. Nice ambaye ni mwimbaji na mwanzilishi wa staili ya Takeu, amesema amefanya kazi mpya na producer […]

 

5 years ago

Bongo5

Benpol amnasa producer aliyewahi kufanya kazi na Jennifer Lopez na Trey Songz

Msanii wa muziki wa R&B Benpol ametumiwa beat na mmoja kati ya maproducer wakubwa wa muziki wa nchini Marekani ambaye ameshawahi kufanya kazi na wasanii wakubwa kama Busta Rhymes, Jennifer Lopez, Trey Songz na wengine.

Akiongea na Bongo5 Jumanne hii, Ben Pol amesema kwa sasa deal hiyo imefikia katika hatua nzuri,huku akidai tayari ameshatumiwa beat kwa ajili ya kuanza kazi.

“Kuna kazi nafanya na producer mkubwa wa Marekani ila siwezi kumtaja, kwani ni mapema sana lakini tayari ameshafanya...

 

11 years ago

CloudsFM

NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA

Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.

 

10 years ago

Bongo5

Kundi la P-Unit ladaiwa kuvunjika, members wake waanza kufanya project binafsi

Kundi la muziki P-Unit kutoka Kenya ladaiwa kusambaratika ikiwa ni miaka saba toka waungane. Kwa mujibu wa Standard Digital, members wa kundi hilo lililozaliwa mwaka 2007, kila mmoja ameanza kufanya solo project. Frasha anatarajiwa kuzindua project yake binafsi Ijumaa hii, huku Gabu na Bon Eye wakifuata mkondo huo pia. P-Unit ambao ni washindi wa tuzo […]

 

9 years ago

Bongo5

Kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu – Fid Q

Fidq

Fid Q anaiunga mkono kasi ya wasanii wa Bongo kwenda kushoot video zao nje ya nchi, na kuongeza kuwa inasaidia kufanya watu wafatilie kwa ukaribu ujio wa kazi hiyo.

Fidq

“Nadhani kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu, unajua wabongo ukisema unaenda kufanya video nje ya nchi tayari wanakuwa wanaisubiria kwahiyo sidhani kama ni kosa, ni kitu kizuri kwasababu kinasaidia mtu kunotice kama kuna kitu ulifanya.” Alisema Fid Q kupitia 255 ya XXL.

“Nimeona wasanii wametoa video hivi karibuni...

 

11 years ago

CloudsFM

ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA

Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.

 

9 years ago

Bongo5

Ma-producer wenzangu wafanye kazi kwa bidii ili wapate nafasi ya kuwania tuzo za kimataifa — Sheddy Clever

Producer Sheddy Clever ambaye alipata nafasi ya kuchaguliwa mara mbili kuwania tuzo za nje za AFRIMMA akiwa producer pekee wa Tanzania kwenye tuzo hizo, ametoa wito kwa watayarishaji wenzake kufanya kazi kwa bidii ili nchi yetu iwe inawawakilishi wengi katika tuzo mbalimbali za kimataifa. Sheddy ambaye ametayarisha hit song ya Diamond ‘Number One’ iliyomfungulia mafanikio […]

 

10 years ago

Bongo Movies

KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker

Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya  Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.

Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.

Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Baada kufanya kazi na Thea, Wastara na Wellu, pendekeza nani tufanyenae kazi tena?..soma vigezo

Muigizaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen  “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni, tumeona sio mbaya kulukuletea hapa na wewe uchangie. Nakuu;

“Wakati naanda mzee wa swaga niliomba mapendekezo mkachagua wengi hatimaye tukawapata Thea,Wastara na Wellu nakubali mapendekezo yenu sana.

Lakini sera ya kampuni ni kujaribu kuwapa nafasi wasanii ambao wana majina lakini sio makubwa ila wana vipaji ili tutengeneze mastaa wengi.

Swali safari hii tumpe nani nafasi ambae unaona anakipaji lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani