Kundi la P-Unit ladaiwa kuvunjika, members wake waanza kufanya project binafsi
Kundi la muziki P-Unit kutoka Kenya ladaiwa kusambaratika ikiwa ni miaka saba toka waungane. Kwa mujibu wa Standard Digital, members wa kundi hilo lililozaliwa mwaka 2007, kila mmoja ameanza kufanya solo project. Frasha anatarajiwa kuzindua project yake binafsi Ijumaa hii, huku Gabu na Bon Eye wakifuata mkondo huo pia. P-Unit ambao ni washindi wa tuzo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vBsJZOpM5twbuHpX3LQlV8ISp6wgY5NQHH*-THOuiC8NaHEABx*hnnrKdAZfsJEAmy*9lrQjy4TC9jc4V4WSx9m/50centnew.jpg)
KUNDI LA 50 CENT LADAIWA KUIBA SAA NA MKUFU WA SH. MILIONI 496
9 years ago
Bongo520 Oct
Kundi la Mafikizolo kuvunjika? Huu ndio ukweli
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa
Inawezekana ulikuwa na hamu ya kufahamu chanzo cha kutengana kwa wasanii wawili wanaounda kundi la 2 Berry (Berry Black & Berry White) mwaka 2006. Akiongea exclusive interview na ripota wa millardayo.com Berry Black ambaye kwasasa makazi yake yapo Dar es Salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella….’Chanzo cha […]
The post Berry Black aeleza chanzo cha kuvunjika kwa kundi lao.. amepata uongozi mpya? stori iko hapa appeared first on...
9 years ago
Bongo510 Dec
Fid Q kufanya kazi na producer wa Kare ya P-Unit, Musyoka
![Fid](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Fid-300x194.jpg)
Fid Q huenda akaungana na producer wa Kenya, Erik Musyoka kupika jiwe jipya.
Wawili hao walikutana kwenye Coke Studio Africa jijini Nairobi, Kenya. Kwa mujibu wa blog ya show hiyo, Musyoka alidai angependa kufanya kazi Fid Q baada ya kuvutiwa na uwezo wake. Wawili hao walizungumza kuhusu kufanya kazi pamoja.
Musyoka ni miongoni mwa watayarishaji wa muziki wanaoheshimika zaidi nchini Kenya. Miongoni mwa nyimbo alizozipika ni pamoja na Kare ya P-Unit. Mwaka jana pia Mwana FA na AY walifanya...
9 years ago
Bongo516 Sep
Man United yapata pigo baada ya beki wake Luke Shaw kuvunjika mguu
9 years ago
Bongo531 Oct
Rapper aliyejiunga na kundi la ISIS, Deso Dogg auawa, aliwahi kufanya ziara na DMX
![dogg-deso-52797355e07f9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/dogg-deso-52797355e07f9-94x94.jpg)
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
Sasa ni Zamu ya Yusup Mlela na Esha Buheti Kutua Marekani Kufanya Project
“Nawatakia safari njema ndugu zangu mungu awatangulie kwa kila jambo najua mungu ndio anayepanga kuna mengi ila hili limeanza kwenu na milango mnaifungua wazi msiwe kama wangine wenye kucheka machoni uku moyo umekunjama. Hahahahaha.alianza Wastara . Mona . Sasa zamu yenu Mlela na Esha mkatuwakilishe vyema . USA . CHAO pamoja wasaniii wadogo haoooooooooooooooooo . Mmmmmmmmmmmmmm majuuuuuuuu”- Steven Mengere 'Steve Nyerere’ aliekuwa raisi wa Bongo Movie Unity alibandika andiko hili mtandaoni...
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Wanasayansi nchini Australia waanza kufanya majaribio ya chanjo mbili
10 years ago
GPL26 Feb